Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji30][emoji30][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji485][emoji483][emoji482]
Hii dustbin Itajaa chupa za nyagi sasa[emoji23] [emoji23]
Inabidi hapa ni ongeze nyagi nyingine!

Ova
20180916_115503.jpg
 
Juzi kati nilikua kijiji nakula egle zile ndogo na Chalii yangu tukalewa sasa nikawa nataka kuongeza!
Wakasema bia na mbege zimeisha nikauliza kuna nini?
Wakasema zipo banana za mbundi
Chalii yangu akadai leta hizo hizi 6 tuwekee kwenye chubuku

Ikaletwa babu!!
Inafoka kwenye jagi,kupiga nguchu mbili nilihisi machozi yanalengalenga
Tulivyomaliza tuko tusu ukiangalia TV unaona ziko 2

Nilishindwa kurudi town sikuile

Banana Kali aisee
Banana hazifai mzee, hata kuifungua yenyewe kama siyo mzoefu inamwagika chini yote
 
Back
Top Bottom