Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo lazima unywe kwa nidhamu sanaJongea bande hii
Hii dustbin Itajaa chupa za nyagi sasa[emoji23] [emoji23][emoji30][emoji30][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji485][emoji483][emoji482]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii dustbin Itajaa chupa za nyagi sasa[emoji23] [emoji23]
Inabidi hapa ni ongeze nyagi nyingine!
Ova
View attachment 867887
Wakusanyaji uchafu kwangu wnabebaga chupa kibao za nyagi[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naanza na konyagi ndg[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Banana hazifai mzee, hata kuifungua yenyewe kama siyo mzoefu inamwagika chini yoteJuzi kati nilikua kijiji nakula egle zile ndogo na Chalii yangu tukalewa sasa nikawa nataka kuongeza!
Wakasema bia na mbege zimeisha nikauliza kuna nini?
Wakasema zipo banana za mbundi
Chalii yangu akadai leta hizo hizi 6 tuwekee kwenye chubuku
Ikaletwa babu!!
Inafoka kwenye jagi,kupiga nguchu mbili nilihisi machozi yanalengalenga
Tulivyomaliza tuko tusu ukiangalia TV unaona ziko 2
Nilishindwa kurudi town sikuile
Banana Kali aisee
Konyagi niliwasifu pale walivyobadilisha vifuniko ufunguaji umekuwa rahisi[emoji23] [emoji23]Jongea bande hii
Lazima uzuge home kwanza si unajuaa [emoji23] [emoji23]Duu mbona location kama ya jana
Nasikia wanywa konyagi huwa hawasimamishi chupa. Wanazilaza, nashangaa hapo