Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

nimefika salama mkuu na leo sijaolewa nalipa kodi mapema nikukere kama wewe jana.
Kumbe tunapendana ulinipa na tahazari kabisa, ila mimi ni mzoefu tangu 1996 nipo kwa rodi.
Salimia wote huko
tapatalk_1537235865991.jpeg
 
Alafu toka uzi huu uwekwe hewani na sisi wapenda kilaji ku share kwa nguvu zote.... mambo yetu humu ndani........tumezaliwa tunyuzi twingine....twa ajabu........ (miscellaneous)....mara eti.... oo uzi wa wanywa juice soda...na kuna kauzi kengine nimekaona leo ....ooh pombe inagombanisha familia....so pathetic
 
inategemea uwezo wa injini yako. wengine mbili tu, wengine mpaka kreti tatu.... [emoji12][emoji12]
Mfano Miss Natafuta ukimuonyesha hela anakata kreti mbili na nusu.... [emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji87][emoji87][emoji87][emoji85][emoji85][emoji85][emoji86]
 
Alafu toka uzi huu uwekwe hewani na sisi wapenda kilaji ku share kwa nguvu zote.... mambo yetu humu ndani........tumezaliwa tunyuzi twingine....twa ajabu........ (miscellaneous)....mara eti.... oo uzi wa wanywa juice soda...na kuna kauzi kengine nimekaona leo ....ooh pombe inagombanisha familia....so pathetic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] CC stroke
 
Back
Top Bottom