Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TumebarikiwaWote tutaenda mbinguni
Hapana ,Mungu amekuonesha vile ulivyokua na upako ,hakika mbingu utaionaNimefanya kosa kweli kuufungua bora ningesubiri maombi yaishe[emoji38][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji847]Hapana ,Mungu amekuonesha vile ulivyokua na upako ,hakika mbingu utaiona
Kunywa ila usilewe☻☻Hapana ,Mungu amekuonesha vile ulivyokua na upako ,hakika mbingu utaiona
N kweeliHiyo inaitwa matumizi mabaya ya pombe
Mambo ya comperative hayo[emoji16]Education is Important but beer is Importanter
Mkuu nimeshtua jibapa imenipeleka UkMambo ya comperative hayo[emoji16]
Kaka nakuona ujue unamtesa mshana leo yupo likizo.Tuko tunaendelezaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nko pande za hawaiii kimara baruti
Ova
View attachment 870247
Mshana jumamosi ntakuwa nayeKaka nakuona ujue unamtesa mshana leo yupo likizo.
Leo wazee tumekula bsi kongoro sambusa bomu vurugu tupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 870289
Na mimi nina safari ya huko ijumaa itapendeza mkinikaribisha maeneo. Siunajua sisi wa mikoani hatujui viwanja tulivu?.Mshana jumamosi ntakuwa naye
Ova