mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Karibu we tu chekiNa mimi nina safari ya huko ijumaa itapendeza mkinikaribisha maeneo. Siunajua sisi wa mikoani hatujui viwanja tulivu?.
Tutakuwa pamoja
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu we tu chekiNa mimi nina safari ya huko ijumaa itapendeza mkinikaribisha maeneo. Siunajua sisi wa mikoani hatujui viwanja tulivu?.
Hapo popote ni lazima jibu liwe yes 😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 870289
tafurahi sana kiongozi. Kila la kheri mi bado napambana mkuu.Karibu we tu cheki
Tutakuwa pamoja
Ova
Pamoja pambana ndgNi
tafurahi sana kiongozi. Kila la kheri mi bado napambana mkuu.
Sanaa alafu sisi syo wanafkiUzuri wa sisi wanywaji ( wachangia kodi) tuna upendo mno ktk kutakiana kheri
Muonekno mpyaK vant sasa hivi imekuja na muonekano mpya!!
Nimeshindwa kupandisha picha sasa sijui melewa!!?
Mwenye picha ya k vant mpya a.k.a muwa atupie chap
Yah man ladha imeboreshwa kidogo!!Muonekno mpya
Radha ile ileView attachment 870325
Umeanza mbali nnTungi la leoo mhhh
Ova
Ah kawaida tu Sema leo bia nyingi nmepiga kuanzia saa 11Umeanza mbali nn
Mie kwa mangi safari ya pili Sasa gia ya usingizi mkuuAh kawaida tu Sema leo bia nyingi nmepiga kuanzia saa 11
Ova
Mimi hapa nipo na Safari yangu ya tatu na nimeshaanzia na cha kupima cha Tanzania Distillers LtdMie kwa mangi safari ya pili Sasa gia ya usingizi mkuu
Ahahahhh Safi sana mkuuMimi hapa nipo na Safari yangu ya tatu na nimeshaanzia na cha kupima cha Tanzania Distillers Ltd
Nimepitia kwa mangi kanissubirisha na moja nipitia fegi ikaniponza. Leo kipenga kinalia mapema.Pamoja pambana ndg
Tuko pamoja
Ova
Hahahaha limekuzidi nguvuTungi la leoo mhhh
Ova
Afadhali jana umefika salamaNimepitia kwa mangi kanissubirisha na moja nipitia fegi ikaniponza. Leo kipenga kinalia mapema.