machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Kesho itabidi nipumzishe ini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni mchanganyiko wa tikiti,papa na parachichi kidogo safi inaondoa sumu ya w.endJuice inaweza ikawa INA kitu ndani, kitu cha punch ,huku Radio inaleta habari na burudani
Hakuna kingine ulichoacha? Cha kuleta msisimko zaidi ?Hii ni mchanganyiko wa tikiti,papa na parachichi kidogo safi inaondoa sumu ya w.end
Hakuna nilicho acha jana nimezidisha dozi nikaamka kama mgonjwa wa malaria.Hakuna kingine ulichoacha? Cha kuleta msisimko zaidi ?
Kuna house Party moja nilihudhuria ,kukawa na punch ( mchanganyiko km huo na pombe Kali kadhaa na korosho kdg ikaitwa kikombe cha babu ) Mungu Wangu ilikua tamu lkn kilichofuata mmmh, party ilifanyika masaki ,sitaki kuendelea na simulizi
Hapa Nna mzinga naupigia bado hesabu namna ya kuanzaKesho itabidi nipumzishe ini
Uko vizuri mno!!Hapa Nna mzinga naupigia bado hesabu namna ya kuanza
Ova
Hahaha, rafiki tuache hili ,maana ilikua ni balaa ,usinikumbushe zamani bana ,kuna mdada mpk Leo hatujui ilikuaje mm na yy ,huwa nikimuona ktk TV au kumsoma ktk gazeti ,anafanya kazi zake,nakumbuka hy event ,ni marafiki mpk Leo wa kufa MTUHakuna nilicho acha jana nimezidisha dozi nikaamka kama mgonjwa wa malaria.
Hebu endelea tupate uhondo kilichojiri nafikiri kilifurahisha.
Hahaha, rafiki tuache hili ,maana ilikua ni balaa ,usinikumbushe zamani bana ,kuna mdada mpk Leo hatujui ilikuaje mm na yy ,huwa nikimuona ktk TV au kumsoma ktk gazeti ,anafanya kazi zake,nakumbuka hy event ,ni marafiki mpk Leo wa kufa MTU
Aisee nimekuvulia kofia
Naunga mkono mkuu, mi ni mtiifu sana kwenye KIU, wala sipendi kuiudhi KIU yanguBana bana,na lzm uitii KIU yako mtu
Ah hakuna cha kufanya sahv navipiga hvyo alafu napandishia na mzinga mmja size ya kati siku imeishaAisee nimekuvulia kofia
Huyo King Turbo lazima akupe ujasiri wa kuchapa kaziUzuri huku bana ,bia 24 hrs View attachment 876544
Ah hakuna cha kufanya sahv navipiga hvyo alafu napandishia na mzinga mmja size ya kati siku imeisha
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimependa radio yako
Mkuu hapo patamuuu sana"""hafu ya baridi mpaka inatoa machoziiiAh hakuna cha kufanya sahv navipiga hvyo alafu napandishia na mzinga mmja size ya kati siku imeisha
Ova
Ikawa km movie ya hangover part 1 na 2Hakuna kingine ulichoacha? Cha kuleta msisimko zaidi ?
Kuna house Party moja nilihudhuria ,kukawa na punch ( mchanganyiko km huo na pombe Kali kadhaa na korosho kdg ikaitwa kikombe cha babu ) Mungu Wangu ilikua tamu lkn kilichofuata mmmh, party ilifanyika masaki ,sitaki kuendelea na simulizi
Nakubali mkuu,
HahahaIkawa km movie ya hangover part 1 na 2
Duh nime ongeza kasichana kimoja ili nkivitandika kichwa kikaye level 😵 😉Aisee nimekuvulia kofia