Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hii ni mchanganyiko wa tikiti,papa na parachichi kidogo safi inaondoa sumu ya w.end
Hakuna kingine ulichoacha? Cha kuleta msisimko zaidi ?

Kuna house Party moja nilihudhuria ,kukawa na punch ( mchanganyiko km huo na pombe Kali kadhaa na korosho kdg ikaitwa kikombe cha babu ) Mungu Wangu ilikua tamu lkn kilichofuata mmmh, party ilifanyika masaki ,sitaki kuendelea na simulizi
 
Hakuna kingine ulichoacha? Cha kuleta msisimko zaidi ?

Kuna house Party moja nilihudhuria ,kukawa na punch ( mchanganyiko km huo na pombe Kali kadhaa na korosho kdg ikaitwa kikombe cha babu ) Mungu Wangu ilikua tamu lkn kilichofuata mmmh, party ilifanyika masaki ,sitaki kuendelea na simulizi
Hakuna nilicho acha jana nimezidisha dozi nikaamka kama mgonjwa wa malaria.

Hebu endelea tupate uhondo kilichojiri nafikiri kilifurahisha.
 
Hakuna nilicho acha jana nimezidisha dozi nikaamka kama mgonjwa wa malaria.

Hebu endelea tupate uhondo kilichojiri nafikiri kilifurahisha.
Hahaha, rafiki tuache hili ,maana ilikua ni balaa ,usinikumbushe zamani bana ,kuna mdada mpk Leo hatujui ilikuaje mm na yy ,huwa nikimuona ktk TV au kumsoma ktk gazeti ,anafanya kazi zake,nakumbuka hy event ,ni marafiki mpk Leo wa kufa MTU
 
Uko vizuri mno!!
Ngj nivikate hvi visichana viwili fasta

Ova
20180924_194546.jpg
 
Hahahahah ngoja niache japo ya kale dhahabu
Hahaha, rafiki tuache hili ,maana ilikua ni balaa ,usinikumbushe zamani bana ,kuna mdada mpk Leo hatujui ilikuaje mm na yy ,huwa nikimuona ktk TV au kumsoma ktk gazeti ,anafanya kazi zake,nakumbuka hy event ,ni marafiki mpk Leo wa kufa MTU
 
Hakuna kingine ulichoacha? Cha kuleta msisimko zaidi ?

Kuna house Party moja nilihudhuria ,kukawa na punch ( mchanganyiko km huo na pombe Kali kadhaa na korosho kdg ikaitwa kikombe cha babu ) Mungu Wangu ilikua tamu lkn kilichofuata mmmh, party ilifanyika masaki ,sitaki kuendelea na simulizi
Ikawa km movie ya hangover part 1 na 2
 
Back
Top Bottom