Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHahahahah ngoja niache japo ya kale dhahabu
Mkuu nliadimika kidogo,Hapa Nna mzinga naupigia bado hesabu namna ya kuanza
Ova
Naskia serengeti lite unakunywa nyingi sanaMkuu nliadimika kidogo,
Serengeti lite zinanipa hasara tu
Kuanzia Leo narudi rasmi kwenye chama la Kilimanjaro premium lager na k-vantView attachment 876779
Mixer kvant balaaMkuu nliadimika kidogo,
Serengeti lite zinanipa hasara tu
Kuanzia Leo narudi rasmi kwenye chama la Kilimanjaro premium lager na k-vantView attachment 876779
Mkuu kwema?😵
Ova
Kesho mzigoni so naitaj kuwapa mapema then nikalaleMixer kvant balaa
Ova
Muhimu maana kwenda mzgoni na tungi nomaaKesho mzigoni so naitaj kuwapa mapema then nikalale
Yap mkuu,hapa nashtua then naenda lalaMuhimu maana kwenda mzgoni na tungi nomaa
Ova
Na wewe pia bila kumsahau katibu wetu mrangi!Mwenyekiti anawatakia usiku mwema [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Mbona mapema ila pouwaMwenyekiti anawatakia usiku mwema [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Kesho job niniYap mkuu,hapa nashtua then naenda lala
Na ww piyaaaMwenyekiti anawatakia usiku mwema [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Nlipita dukani kwa mang nacho kua mz nga wa ku anzi a kes ili ntalipig kdg usik hukuto se allNa wajumbe wote pia