Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Napitaga pitaga nikienda kwa Kakaa 4 ways
Duh 4way kwa kaka balaa jioni
Na govorners ni shida....
Ah hpa nmepewa bia kwa masharti nimepiga 1 tu kaunta anaogopa kubebwa nmemwambia wakija aniachie msala mm lkn hakunielewa ahh sheria hii syo kbsa

Ova
 
Nawashauri wanywaji wenzangu, pendeleeni kunywa viwanja kama Serena Hotel, Kilimanjaro Kempisk, New Africa Hotel na maeneo km hayo mengine unakutana na watu waliotoka kimaisha wanaweza kukupa mchongo ukatoka.....
Hivi vibar vyetu vya uswazi ni majungu tu na umbea
SANUKENI
 
Duh 4way kwa kaka balaa jioni
Na govorners ni shida....
Ah hpa nmepewa bia kwa masharti nimepiga 1 tu kaunta anaogopa kubebwa nmemwambia wakija aniachie msala mm lkn hakunielewa ahh sheria hii syo kbsa

Ova
Ki ukweli Makonda kwa hili katuweza , wanywa bia tumekuwa Kama wavuta bhangi mchana
 
Nawashauri wanywaji wenzangu, pendeleeni kunywa viwanja kama Serena Hotel, Kilimanjaro Kempisk, New Africa Hotel na maeneo km hayo mengine unakutana na watu waliotoka kimaisha wanaweza kukupa mchongo ukatoka.....
Hivi vibar vyetu vya uswazi ni majungu tu na umbea
SANUKENI
Kwendraaaaaaaa huko kanye menywewe
 
Umesahau kushika tako la wahudum na kung'ang'ania nyimbo yako ipigwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mara umekaliwa Mara umeshikwa kidove
Fujoo tu Serena sea cliff hakuna burdan hyo

Ova
 
Abuu@hizo sehemu hakuna udambwiudambwi tushazoea mikelele na kuleteana uzushi na wahudumu....

Ova
Kwamimi ninaependa utulivu na kusoma watu waliendelea napendelea maeneo km haya ila km una moyo mdogo unaweza kujitukania mamako jinsi unavyoona wenzako walivyonawili na wallet zimetuna wanaongelea mikakati ya kimaisha ya level za juu
 
Back
Top Bottom