ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Karibu na BakwataKivulini bar, Kino road,
Sahv Inaitwa bush n bull ahhh
Kaunta na muomba bia utafikiri ananipa magendo bidhaa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu na BakwataKivulini bar, Kino road,
Sahv Inaitwa bush n bull ahhh
Kaunta na muomba bia utafikiri ananipa magendo bidhaa
Ova
Napitaga pitaga nikienda kwa Kakaa 4 waysSwadaktaaaa
Ova
Ndio hapo ndio nashangaa , wale wakitoa arobaini ya chumba ndo Kodi itapatikanika hapo ila ya kuhonga hakuna kodiWakati walipotaka kufanyiwa ukaguzi walikuja juu mpaka zoezi likasitishwa... Makondeko mwenyewe alichemsha
Duh 4way kwa kaka balaa jioniNapitaga pitaga nikienda kwa Kakaa 4 ways
Hatari kabisa mkuu..ila ndio path tuliochagua kwa moyo mmoja na tumejitoa kweli kweliMkuu nadondoshea Valeur ndogo hapa si mchezo utafkir nimekula kiaz cha moto hlo joto hapo tumboni na hli jua la hapa kazi tu
Ajali kazini ila sasa tupo makini[emoji23] [emoji23]Huon tayar umepoteza hela ya kreti na chenchi ya kumpa wife inabaki
Hakikaa mkuuDuh pole hyo 20000 ungepiga bia za kutosha Inabdi serikali iruhusu tu watu tunywe 24/7 hadharani maana mambo ya mpka saa 10 ni uzushi tu
Ova
Ki ukweli Makonda kwa hili katuweza , wanywa bia tumekuwa Kama wavuta bhangi mchanaDuh 4way kwa kaka balaa jioni
Na govorners ni shida....
Ah hpa nmepewa bia kwa masharti nimepiga 1 tu kaunta anaogopa kubebwa nmemwambia wakija aniachie msala mm lkn hakunielewa ahh sheria hii syo kbsa
Ova
Utafikiri unakunywa magendoKi ukweli Makonda kwa hili katuweza , wanywa bia tumekuwa Kama wavuta bhangi mchana
Acha tu mkuuUtafikiri unakunywa magendo
Ova
Kwendraaaaaaaa huko kanye menyweweNawashauri wanywaji wenzangu, pendeleeni kunywa viwanja kama Serena Hotel, Kilimanjaro Kempisk, New Africa Hotel na maeneo km hayo mengine unakutana na watu waliotoka kimaisha wanaweza kukupa mchongo ukatoka.....
Hivi vibar vyetu vya uswazi ni majungu tu na umbea
SANUKENI
Umesahau kushika tako la wahudum na kung'ang'ania nyimbo yako ipigweAbuu@hizo sehemu hakuna udambwiudambwi tushazoea mikelele na kuleteana uzushi na wahudumu....
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umesahau kushika tako la wahudum na kung'ang'ania nyimbo yako ipigwe
Kwamimi ninaependa utulivu na kusoma watu waliendelea napendelea maeneo km haya ila km una moyo mdogo unaweza kujitukania mamako jinsi unavyoona wenzako walivyonawili na wallet zimetuna wanaongelea mikakati ya kimaisha ya level za juuAbuu@hizo sehemu hakuna udambwiudambwi tushazoea mikelele na kuleteana uzushi na wahudumu....
Ova
Full manjonjo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mara umekaliwa Mara umeshikwa kidove
Fujoo tu Serena sea cliff hakuna burdan hyo
Ova