Captain-Sparta
Senior Member
- Sep 9, 2016
- 175
- 172
Kweli mkuu Roger ....over[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mara umekaliwa Mara umeshikwa kidove
Fujoo tu Serena sea cliff hakuna burdan hyo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu Roger ....over[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mara umekaliwa Mara umeshikwa kidove
Fujoo tu Serena sea cliff hakuna burdan hyo
Ova
Kingine bar zetu hzi tunakopa hko Serena hawakopeshi...Sema wanywaji kwenye kulipa sisi waatifu sana...Full manjonjo
Alafu wahudumu wa bar wanajua michongo mingi DahKweli mkuu Roger ....over
Bora home wapike ugali na mchicha kirikuu zimiminike kinywaji ukifika hii level ni hatar sana kwa familiaKingine bar zetu hzi tunakopa hko Serena hawakopeshi...Sema wanywaji kwenye kulipa sisi waatifu sana...
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora home wapike ugali na mchicha kirikuu zimiminike kinywaji ukifika hii level ni hatar sana kwa familia
Umenikumbusha nina kimeo nimekiacha Jana Cha bia 2Kingine bar zetu hzi tunakopa hko Serena hawakopeshi...Sema wanywaji kwenye kulipa sisi waatifu sana...
Ova
Tatizo wanakariri , wanajua ukikopa bar wanajua nyumbni wanakula majani kama herbirvores[emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo wanakariri , wanajua ukikopa bar wanajua nyumbni wanakula majani kama herbirvores[emoji3]
Wanasumbua walipa kodi na kupoteza mapatoDuh pole hyo 20000 ungepiga bia za kutosha Inabdi serikali iruhusu tu watu tunywe 24/7 hadharani maana mambo ya mpka saa 10 ni uzushi tu
Ova
Hahaha umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja yy alikua anajaza juke box lile elf 3 ,nyimbo moja tu ,Tamaa mbaya ya 20 percent basi, kisha anaagiza bia anakaa pembeni kunywa, mnatasikiliza hy nyimbo mpk mchokeUmesahau kushika tako la wahudum na kung'ang'ania nyimbo yako ipigwe
Umenikumbusha kuna jamaa hivi sasa Marehemu yeye anachagua nyimbo ambazo zitawakera watu muda huo na mara nyingi anachagua taarabHahaha umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja yy alikua anajaza juke box lile elf 3 ,nyimbo moja tu ,Tamaa mbaya ya 20 percent basi, kisha anaagiza bia anakaa pembeni kunywa, mnatasikiliza hy nyimbo mpk mchoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afadhali huyo jamaa mmoja yeye alikuja na mishankupe wakalimiliki juke box kwa elfu kumi kisha zikaanza taarab zile za uswazi mwanzo mwishoHahaha umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja yy alikua anajaza juke box lile elf 3 ,nyimbo moja tu ,Tamaa mbaya ya 20 percent basi, kisha anaagiza bia anakaa pembeni kunywa, mnatasikiliza hy nyimbo mpk mchoke
Umenikumbusha kuna jamaa hivi sasa Marehemu yeye anachagua nyimbo ambazo zitawakera watu muda huo na mara nyingi anachagua taarab
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afadhali huyo jamaa mmoja yeye alikuja na mishankupe wakalimiliki juke box kwa elfu kumi kisha zikaanza taarab zile za uswazi mwanzo mwisho
Hahaha, itakua mnaongelea MTU mmoja ,yale ma juke box ,yanakera sana ,hv bado yako?Sijui ni huyo niliyemtaja saivi? Bar za manzese hizo
Slots machine ,zile ni kero ,zamani zilikua kariakoo na manzese,nasikia sasa hadi mitaani zimejaaBar za hadhi zinayapotezea siku hizi kuna vimashine vya kamari vya kichina navyo vurugu tupu.. Vimeua bar nyingi sana
Umeingizia taifa mapato NO OFFENSE! [emoji23]Wakuu nimekwepa kodi.kisa majukumu. Nimetoroka kidoga kulipa kwa kujiiba munisameheView attachment 878490