Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hahaha umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja yy alikua anajaza juke box lile elf 3 ,nyimbo moja tu ,Tamaa mbaya ya 20 percent basi, kisha anaagiza bia anakaa pembeni kunywa, mnatasikiliza hy nyimbo mpk mchoke
Umenikumbusha kuna jamaa hivi sasa Marehemu yeye anachagua nyimbo ambazo zitawakera watu muda huo na mara nyingi anachagua taarab
 
Hahaha umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja yy alikua anajaza juke box lile elf 3 ,nyimbo moja tu ,Tamaa mbaya ya 20 percent basi, kisha anaagiza bia anakaa pembeni kunywa, mnatasikiliza hy nyimbo mpk mchoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afadhali huyo jamaa mmoja yeye alikuja na mishankupe wakalimiliki juke box kwa elfu kumi kisha zikaanza taarab zile za uswazi mwanzo mwisho
 
Umenikumbusha kuna jamaa hivi sasa Marehemu yeye anachagua nyimbo ambazo zitawakera watu muda huo na mara nyingi anachagua taarab
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afadhali huyo jamaa mmoja yeye alikuja na mishankupe wakalimiliki juke box kwa elfu kumi kisha zikaanza taarab zile za uswazi mwanzo mwisho
Sijui ni huyo niliyemtaja saivi? Bar za manzese hizo
Hahaha, itakua mnaongelea MTU mmoja ,yale ma juke box ,yanakera sana ,hv bado yako?
 
Wakuu nimekwepa kodi.kisa majukumu. Nimetoroka kidoga kulipa kwa kujiiba munisamehe
15379644459021633653403.jpg
 
Back
Top Bottom