Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nlikoswakoswa masai,sofun knyama,Kuna bar moja iko kama unakwnda kwa sheikh ya haya mkwajuni ilikuwa nikitoka tu nyuma balaaa wazee wa kazi hyooo
Tangu siku hyo bar zinazojaa sana nakaa kwa machale@mshana jr

Ova
 
Kopakabana syo ya kwa makoma ni ya Kino mtaa Togo Karibu na ufipa street

Ova
Hii mitaa Nina history nayo ,hivi ufipa ile bakery bado ipo ?
Na pale mtaa wa Togo Ccm ,sokoni kulikuaga na pembea zipo ?

Mwisho kabisa kulikua na pub ya mdada mmoja mbishi wa chadema white hv ,nadhani mama ake ni diwani au mbunge na yy aligombeaga udiwani upanga
 
Hii mitaa Nina history nayo ,hivi ufipa ile bakery bado ipo ?
Na pale mtaa wa Togo Ccm ,sokoni kulikuaga na pembea zipo ?

Mwisho kabisa kulikua na pub ya mdada mmoja mbishi wa chadema white hv ,nadhani mama ake ni diwani au mbunge na yy aligombeaga udiwani upanga
Ufipa bakery ya waarabu wale
Mm nmekaa pale enzi za a Ajax ili kuwa shidaa
Bembea hakuna mm nlitoka hko ila nmekulia hapo
Bakery ya mzee bawaziri kama sikosei

Ova
 
Leo nashtua baada ya kupumvika siku mbili tatu.
20180927_181944.jpeg
 
Ufipa bakery ya waarabu wale
Mm nmekaa pale enzi za a Ajax ili kuwa shidaa
Bembea hakuna mm nlitoka hko ila nmekulia hapo
Bakery ya mzee bawaziri kama sikosei

Ova
Hahaha, kulikua na Mzee mmoja wa kinyamwezi anafanya kazi Kilimanjaro hotel unakumbuka?
 
Walikua wanakaa upande wa makaburi ( yaani nyuma kuna makaburi) pembeni kuna ka njia HV

Kwa akina makinda long time hy ujue
Ah nahisi hawapo ila mm napitaga sana huko
Si pale mkunguni
Unakumbuka mbabe wa Kino anaitwa Bob chura

Ova
 
Ah nahisi hawapo ila mm napitaga sana huko
Si pale mkunguni
Unakumbuka mbabe wa Kino anaitwa Bob chura

Ova
Walihama kitambo, mie walikua ndugu tu ,maza ananitoa regent jmos naenda hapo jpili jioni nafuatwa ,j3 shule
 
Walihama kitambo, mie walikua ndugu tu ,maza ananitoa regent jmos naenda hapo jpili jioni nafuatwa ,j3 shule
Kino mm hakuna mtu asiyenijua maana enzi zile za Ajax pressure ilikuwa balaaaa
Mungu alitunusuru
We nambie ufipa sehemu gani au kama unakwenda kwa kabombe
We utakuwa unanijua tu

Ova
 
Kino mm hakuna mtu asiyenijua maana enzi zile za Ajax pressure ilikuwa balaaaa
Mungu alitunusuru
We nambie ufipa sehemu gani au kama unakwenda kwa kabombe
We utakuwa unanijua tu

Ova
Kabombe mbali ,hapa karibu na ofc za cdm upande ule nyumba yenye uchochoro wa kwenda makaburini nyuma
 
Back
Top Bottom