Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Wakuu wa mitaa ya Mlimani - UDSM,Survey,Mlalakuwa na Mwenge,pale Brajec pa Nderumaki bado papo?
Yaani palivyofunguliwa nilikuwa bongo,kilikuwa bonge la kiwanja.
 
Mrangi mtoto wa Kino.
Wewe mbishi aisee, mimi siwezi kunywa maeneo hayo; Mkwajuni kwa Manyanya mpaka Mwananyamala!
Hahahaha mkuu kusema ukweli sisi tulikuwa wahuni wa Kino na cv zetu zinjulikana ila sahv ahhh tumekuwa wa pole [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Walokole tumekuwa watu wa familia
Ila maisha tu

Ov
 
Wakuu wa mitaa ya Mlimani - UDSM,Survey,Mlalakuwa na Mwenge,pale Brajec pa Nderumaki bado papo?
Yaani palivyofunguliwa nilikuwa bongo,kilikuwa bonge la kiwanja.
Kuna chimbo linaitwa 5n sjui 5k opp na mlimani Naskia balaaaa

Ova
 
Unaenda ofisin mate yanadondoka dondoka mdomo unapishana wa juu na wa chin jicho kama limepigwa bisi bisi alafu unahema kama mtu anaeruka kamba...vichwa panzi wanachekeshaga alafu ndo wanajfanyaga wababe
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ......
 
Leo ni leo
20180927_194736.jpeg
 
Back
Top Bottom