Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kati ya miaka ya 1987- 1991Kabombe mbali ,hapa karibu na ofc za cdm upande ule nyumba yenye uchochoro wa kwenda makaburini nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya miaka ya 1987- 1991Kabombe mbali ,hapa karibu na ofc za cdm upande ule nyumba yenye uchochoro wa kwenda makaburini nyuma
Ahaaa kwa kina nandondeKabombe mbali ,hapa karibu na ofc za cdm upande ule nyumba yenye uchochoro wa kwenda makaburini nyuma
Inawezekana, Mzee wao alikua mstaafu Kilimanjaro hotel ,watu wa taboraAhaaa kwa kina nandonde
Ova
Unasema jimmy auInawezekana, Mzee wao alikua mstaafu Kilimanjaro hotel ,watu wa tabora
Ndio sehemu napenda hahahahahSwadakta, umenikosha sana Leo,halafu umekaa kaunta
Hongera sana mkuu kwa kufika mapema
Wadau wenzangu wanywaji walevi wenzangu hapa kuna debate hapa mezani
Kuna jamaa anasema konyagi inaua macho Je ni kweli ?
Ova
Hahahaha mkuu kusema ukweli sisi tulikuwa wahuni wa Kino na cv zetu zinjulikana ila sahv ahhh tumekuwa wa pole [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mrangi mtoto wa Kino.
Wewe mbishi aisee, mimi siwezi kunywa maeneo hayo; Mkwajuni kwa Manyanya mpaka Mwananyamala!
Kuna chimbo linaitwa 5n sjui 5k opp na mlimani Naskia balaaaaWakuu wa mitaa ya Mlimani - UDSM,Survey,Mlalakuwa na Mwenge,pale Brajec pa Nderumaki bado papo?
Yaani palivyofunguliwa nilikuwa bongo,kilikuwa bonge la kiwanja.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ......Unaenda ofisin mate yanadondoka dondoka mdomo unapishana wa juu na wa chin jicho kama limepigwa bisi bisi alafu unahema kama mtu anaeruka kamba...vichwa panzi wanachekeshaga alafu ndo wanajfanyaga wababe
Mkuu mrangi,kuna mtu namfananisha na wewe. Matikiti Mkuranga!!?Kuna chimbo linaitwa 5n sjui 5k opp na mlimani Naskia balaaaa
Ova
We nitakutafuta tukae km kamatiNdio sehemu napenda hahahahah
Bado naamini pamoja na ayani kuwa taiti,bado wanywa pombe ndio walipa kodi wakubwa.Hivi kuanzia mwenyekiti aanzishe huu Uzi hadi muda huu na kula vyombo tumelipa kodi sh ngap?