Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani!28?duhWeekend ilopita nlipiga 28 hizo,na kvant ndogo
Hizi hata upige 50 hamna kituAnaeleweshwa na hii kitu anipe ujuzi, nimekunywa 17 naona bado niko sawaView attachment 879649
Nlitembea mkuu,sema njia nilizopita hadi nafika home sikumbuki,asubuhi napokea simu ya Manager kuna Nina kimeo Cha 9000/=,anadai nilivyolewa wakanifata niwalipe nikagoma bahati nzuri Ni sehemu najulikana wakasema kesho nitawapa tuEbwanaaa ehhh mzee baba uliweza tembea
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Huu ni ubakaji[emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari mkuu alafu unajua crate zinakaa 25 so manager anasema ilibid watenge pembeni ili asubuhi wanioneshejamani!28?duh
Hatari mkuu alafu unajua crate zinakaa 25 so manager anasema ilibid watenge pembeni ili asubuhi wanioneshe
Hahahahahah alafu hyo sisi wanywaji inatukuta sana unaingia ndani kwa his ia hujui kitu chochote [emoji23] [emoji23]Nlitembea mkuu,sema njia nilizopita hadi nafika home sikumbuki,asubuhi napokea simu ya Manager kuna Nina kimeo Cha 9000/=,anadai nilivyolewa wakanifata niwalipe nikagoma bahati nzuri Ni sehemu najulikana wakasema kesho nitawapa tu
Niliwahi kupiga konyagi kubwa kadhaa pale safari carnival ,nilikua nakaa mikocheni B, flat za BIMA siku kuna chuo nasikia, sijui nilifikaje ,Hahahahahah alafu hyo sisi wanywaji inatukuta sana unaingia ndani kwa his ia hujui kitu chochote [emoji23] [emoji23]
Ova
Duh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliwahi kupiga konyagi kubwa kadhaa pale safari carnival ,nilikua nakaa mikocheni B, flat za BIMA siku kuna chuo nasikia, sijui nilifikaje ,
Barabara nilivukaje sijui ,mbaya zaidi sikuruka dimbwi la maji hata moja,nilizima sebuleni na kipaseli changu cha chips kipaja pembeni niliviona asubuhi
Mikochen nishalewa sna kwa mzee mkonyiNiliwahi kupiga konyagi kubwa kadhaa pale safari carnival ,nilikua nakaa mikocheni B, flat za BIMA siku kuna chuo nasikia, sijui nilifikaje ,
Barabara nilivukaje sijui ,mbaya zaidi sikuruka dimbwi la maji hata moja,nilizima sebuleni na kipaseli changu cha chips kipaja pembeni niliviona asubuhi
Naam kwa Mzee Shanga ,Duh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pale kwa mzee shangaa marehemu
Kuna binti yake chap ombe balaaaa anaitwa patricia unampata
Pale waliniibia pikipiki yangu kitambo sana xr 250
Ova
Mitaa yangu hy Mkonyiz now ni mebs ,R.I.P Mzee Dr MkonyiMikochen nishalewa sna kwa mzee mkonyi
Pale na Foster's
Ova
Safi DahMitaa yangu hy Mkonyiz now ni mebs ,R.I.P Mzee Dr Mkonyi
Forsters zamani vijana club. Hahaha nimeishi kule miaka kibao
Unamjua mudy punkyNaam kwa Mzee Shanga ,
R.I.P Dada Patricia best angu na hizo konyagi tulikua wote ,Mkuu me nilimuacha anaendelea
HahahaSafi Dah
Mkonyiz sijaenda miaka kibao
Ova
Ki ukweli mkuuInabidi tbl safari lager wanitunuku tuzo
Wasiponitunuku ntawashtaki kwako [emoji23] [emoji23]
Ova
View attachment 880458