Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mitaa yangu hy Mkonyiz now ni mebs ,R.I.P Mzee Dr Mkonyi

Forsters zamani vijana club. Hahaha nimeishi kule miaka kibao
Nlikuwa nakuja na xr250 alafu naendesha nikiwa napiga kilaji basi mzee Mkonyiz akawa ananionyaga kijana
Nlipataga ajali mbaya sana tangu siku hyo mpk leo pikipiki sitaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Kuna mzee mmoja alikuwa mtu wa magari na pikipiki ana watoto vichotara hvi
Jina nimeisahau naskia kavuta

Ova
Kule wamefariki wazee Wangu wawili na Dada Patricia ,wenyewe walikua wananiita Son,Mzee Mkony na Mzee Meda ( huyu tulishamjadili humu JF na Mshana Jr , wote ni members walikua wa Mkonyiz sasa Mebs

We utakua unamsema my Dad Mzee Meda ( km sijakosea)
 
Mambo yashakuwa mambo
IMG_20180928_154618.jpeg
 
Mudy punky si amemuoa mtoto wa mzee majungu Naskia nyumba wame uza au imechukuliwa na bank
Namjua mudy punky kitambo mke wake alimpangishaga jamaa yangu mmja pale wakala kodi ya mwaka jamaa yangu Haku ingia tuliwaletea mtiti sana pale

Ova
Sawa sawa ,mudy punky mshikaji sana tu

Sasa tulewe ,story na ugimbi ndio nzuri
 
Mudy punky si amemuoa mtoto wa mzee majungu Naskia nyumba wame uza au imechukuliwa na bank
Namjua mudy punky kitambo mke wake alimpangishaga jamaa yangu mmja pale wakala kodi ya mwaka jamaa yangu Haku ingia tuliwaletea mtiti sana pale

Ova
TBL inatakiwa wakupe Golden award Katibu wetu
 
Back
Top Bottom