Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi hiyo kaka angu ya heineken eenhNimeipenda hiyo rangi[emoji23]
Maua yanapendezesha mezaMsikae pekeyenu kaeni na maua mchangamke
Usi saau kutowa Z reportWalipa kodi mpo imara?
Mi ndio nawasha efd muda huu.View attachment 881096
Hahhahahahha mtaniiii muda Badoo up me kwanza ndo naendeleza gambe hapaaMsikae pekeyenu kaeni na maua mchangamke
Mkuuuu mbona raia Leo siwaelew,kuanzia mrangi,mshana,mzigua,black woman,na wngne wengi????View attachment 881631
Ha ha ha wale wa soft soft,moja chali....
Ha ha ha watakuwa wameanza hii ligi tangu asubuhi,sasa hivi watakuwa wako bize kwenye sebeneMkuuuu mbona raia Leo siwaelew,kuanzia mrangi,mshana,mzigua,black woman,na wngne wengi????
Maana me uku nliko weekend imenoga balaaa
Ha ha ha mkuu,angalia usije ukatumia ambavyo vime-expireHata watu wa chini tunahitaji farajaView attachment 881640
Shidaaa nimeingia na bia mpaka duka la dawa ahhhhhUsi saau kutowa Z report
Mkuu ulipumzika??
Dah kuanzia asubuhi ni mwendo biaaa nko na jamaa yangu anaitwa tairoMkuu ulipumzika??
Ntazingatia mtaalam... leo mishe zimegoma asee sfari hazinyweki kabisaHa ha ha mkuu,angalia usije ukatumia ambavyo vime-expire