Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ipo siku zitakaa poa,ni suala la muda tu na uvumilivuNtazingatia mtaalam... leo mishe zimegoma asee sfari hazinyweki kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku zitakaa poa,ni suala la muda tu na uvumilivuNtazingatia mtaalam... leo mishe zimegoma asee sfari hazinyweki kabisa
Balimi bonge bia radha murua, shida moja stimu yake kali kupita kawaidaHivi balimi ni bia nzuri... Nataka kuanza kulewa rasmi hivi punde.
Mkuu dawa na bia!! tusije tukakupoteza
Ukipumzika kesho itakuwa tamu sanaDah kuanzia asubuhi ni mwendo biaaa nko na jamaa yangu anaitwa tairo
Yaani shidaaa
Ova
Jumatatu napumzika maana DahUkipumzika kesho itakuwa tamu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 881631
Ha ha ha wale wa soft soft,moja chali....
Dah... Hivyo vipombe vya mbezi na kimara ni gongo iliyofanyiwa featuring....Hata watu wa chini tunahitaji farajaView attachment 881640
Mkuu Equation x, ndio maana nilikuwa sijapanda kaunta hadi hivyo vya sukari vitoke. Muda huu ninapotaka kutoka havipo mkuuHa ha ha mkuu mbona kuna vitu vya sukari sukari hapo?vyote unatumia
Kidumu chama cha walipa kodi watiifu na waaminifu TANZANIANiko hapa na meneja wa bia,anawapongeza wanachama wote pia anawaomba muendelee na moyo huo huo wa kuwaunga mkono ili waendelee kuishi mjini.bia oyeeee....,supa brandi namba moja.
Pongezi zako mkuu,mi naendeleza hapa taratiibu na serengeti lite pamoja na mduduMkuu Equation x, ndio maana nilikuwa sijapanda kaunta hadi hivyo vya sukari vitoke. Muda huu ninapotaka kutoka havipo mkuu
Ni kweli mkuu ukiangalia viwanda vya pombe hapa nchini viko safi kimazingira na kimuonekano,ukilinganisha na vingine vinavyozalisha bidhaa tofautiKidumu chama cha walipa kodi watiifu na waaminifu TANZANIA
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwann sasa,mudada murembo kama wewe ukunywe mayi ?Jmosi ya leo hata sielewi elewi hadi sasa nimekunywa maji ya kilimanjaro