mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh club sinaga mzuka nako kabisa...Sasa hapo itabidi uingie club sasa!!
Ukuje unifotoeKapicha please
Si 2500 tu brother au
unaenda kunywa kwenye zile bei za kitalii
We unaenda kuinywea viwanja vya watalii Heineken 2500 tuTsh 5000 mkuu ndogo
Wodka... Kifuta kumbukumbuHuyu ndio mpendwa wangu/kipenzi cha roho yangu/nyongo mkalia IniView attachment 881511
Ayaa mama nikianza kikao leo nitakuita ili tufotoaneUkuje unifotoe
Weekend hii pombe naziangalia tu
Niko home na dogo tu siwezi kwenda mtaani. Labda ndani tu Leo. Sasa ndani pombe Kali ndo zinafaaKwann unaziangalia tu..unaishije bila pombe weekend
Kama nyagi tunaita kifutio [emoji23]Wodka... Kifuta kumbukumbu
Niko home na dogo tu siwezi kwenda mtaani. Labda ndani tu Leo. Sasa ndani pombe Kali ndo zinafaa
Mapema sana leo natoa lock kimtindoWodka... Kifuta kumbukumbu
Nmepita babu kiwanja chako natoa lockUtakuta kampimia Cha jero mtu apate hela ya kujiunga bando[emoji3]
Vodka nayo Ina hiyo tabia. Unaweza ukasahau hata Jana yake ulikua umekaa Na kina naniKama nyagi tunaita kifutio [emoji23]
Jna nmepiga nyagi za kufa mtu lkn sikumbi
YA jna na sijui nlingia vp kwangu
Ova
Laini labda wine. Vikali ndo napenda zaidiYeah vitu vikali kwa home ndo penyewe..me nna allergy na vitu vikali..me napenda lain lain..