Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ben ni mwanachama mtiifu wa le big tramp[emoji1787][emoji23] kuna mmoja anafanya kolabo na kijiti kikavu[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Naingia humu [emoji23] [emoji23]

Ova

20181007_172247.jpg
 
Kamanda wa zamu naingia lindoni. Lindo la leo safari nimecamcel nina gadhabu leo nyagi tu. Semaaaa nyaaaaaaaagi tu
 

Attachments

  • IMG_20181007_185428.jpeg
    IMG_20181007_185428.jpeg
    45.5 KB · Views: 28
Kuna kigogo mmja nlikuwa nagongana naye bar moja obay ukitokea Ronnie's kuna sehemu hyo jamaa sahv ndy powerful person nchn nakumbuka bia yake ilikuwa serengeti lager [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hicho kilikuwa kijiwe chake

Ova
Ronnie's bado Ipo
 
Kamanda wa zamu naingia lindoni. Lindo la leo safari nimecamcel nina gadhabu leo nyagi tu. Semaaaa nyaaaaaaaagi tu
Hicho kingine ni shanga?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787]
 
Ronnie's bado Ipo
Duh ile kitambo sijapita [emoji23] [emoji23] nlikuwaga na msala nilimvaa mzee mmja alikuwaga eagle house pale [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila nlimbatuaga na Gari ila tuko poa sahv
Kuna kiwanja kimoja nlikuwa naendaga kama unaenda shule ya osterbay ndy kilikuwa kinabamba

Ova
 
Duh ile kitambo sijapita [emoji23] [emoji23] nlikuwaga na msala nilimvaa mzee mmja alikuwaga eagle house pale [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila nlimbatuaga na Gari ila tuko poa sahv
Kuna kiwanja kimoja nlikuwa naendaga kama unaenda shule ya osterbay ndy kilikuwa kinabamba

Ova
Trinity au ?
 
Back
Top Bottom