Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Zinatembea kwa matairi ya gari kabisaaaa
IMG_20181109_223318.jpg
 
Bulawayo kna jamaa mmja nko naye anakumbusha kisa pale kilitokeaga bar ilikuwa road kna siku ile tunaondoka pale tu kna Gari ilikosea njia ikawavaa walevi
Bar za pembezoni mwa barabara mwiko mm kwenda since then
Pia wakati wa mechi mashabiki walitaka taifa oyaoya lazima wawavamie walevi wahuni wa keko walikuwa hawafai

Ova
Keko mitaa ya kwetu zamani. Pale lazima sura yako ijulikane la utapigwa roba kweupe. Kuna njia kuelekea Keko toroli nilitaka kupita kwa sababu siku nyingi sikuwa Keko! Mshkaji wangu akaniambia utapigwa roba twende nikusindikize.

Keko Palace Bar, Matimila...Yaani dogo akifika miaka 10 tayari Mtu mzima huyo
 
Keko mitaa ya kwetu zamani. Pale lazima sura yako ijulikane la utapigwa roba kweupe. Kuna njia kuelekea Keko toroli nilitaka kupita kwa sababu siku nyingi sikuwa Keko! Mshkaji wangu akaniambia utapigwa roba twende nikusindikize.

Keko Palace Bar, Matimila...Yaani dogo akifika miaka 10 tayari Mtu mzima huyo
Anafundishwa jinsi ya kupiga ngumi nyundo, panchi moja ushasepa na pochi nene
 
Kuna dada mmja kufungua ki pub chke Inaitwa kifurushi pub safari ndg 1400
Pombe zote bei cheeee anasema tukajiunge kifurushi Sema mwananyamala kisiwani ndani kuna masela hko balaaa Roba nje nje
Wakati naenda hko leo lazima nimptie mwanangu dullah mbabe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Anipe tag

Ova

HAHAAAAA MPWAAA HIZO 300 ZILIZOBAKIA UNAWEZA ZITOLEA KWENYE TUNDULOLOTE HUKO HAKU HAKUFAII AISEE

NILISHAWAHII ONA TUKIOO NKAKIMBILIA MWANANYAMALA HOSP ILIKUWA SAA NANE NKAMWOMBA MLINZI ALAMBE BUKU TULINDE WOTEE TU MPAKA ASB TUKAKAA MACHO TILL MORNING

N KUNDI LINATEMBEA BARABARAN LINAPORA LIVE USIKUHUOO NKAHISII MMH MAMBO YA KONKII KONKII HATA 70 SIJAFIKA NILINDE MARINDA YANGU MWANANYMALA HOSP
 
MPWAA HIZI KOPO BADOO ZIPO AISEE
Mpwaaa ngja sahv ningie uwanjani watoto wanikimbize nkumbushie enzi zangu ila najua midaa ntaisoma namba
Ila tunajiandaa na mechi walevi na wachezaji mechi baada ya wiki 1 tunakipiga

Ova
20181110_071842.jpg
 
Back
Top Bottom