Mada maalumu ya picha za watu maarufu waliowahi kuwepo na waliopo duniani

Mada maalumu ya picha za watu maarufu waliowahi kuwepo na waliopo duniani

Mpaka leo zaidi ya miaka 50 sasa wazungu pamoja na ujanja wote hii case ni moja wapo ya unsolved mysteries katika historia ya Marekani.

Wengi hudhani ni conspiracy theory.
Mara nyingi zinakuwa Ni hadithi za kutunga ili ziweze kuleta changamoto kwenye masuala ya ulinzi.

Ni Kama ile hadithi ya kijana aliekufa kwa kujirusha kutoka juu ya gorofa lakini kabla ya kufika chini akakutana na risasi ilifyatuliwa na baba yake, na hio risasa huyo kijana ndie Alie iweka kwenye bunduki ya baba make I'll kusudi baba make amuue mama yake kwa kua Mara nyingi baba yake alikua akimtishia mama yake bunduki kila wakigombana.
Sasa kijana alivyoona azma yake ya kuuwawa mama yake akaona heri ajiue, alipanda gorofa ya juu zaidi ili ajirushe, ajabu alivyojirusha kufikia kwenye gorofa yao akakutana na risasa kutoka kwenye ile bunduki.

Kesi hio ilikua ngumu Sana kwamba Nani mwenye hatia hapo!

Mwishowe ikaonekana Ni kisa Cha kutungwa tu hakijawahi kutokea.
 
Uzi bora kabisa.

Nasubiri picha Cleopatra ambaye inasemekana alikuwa the most beautiful woman ever.
1623435738269.png
 
Mara nyingi zinakuwa Ni hadithi za kutunga ili ziweze kuleta changamoto kwenye masuala ya ulinzi.

Ni Kama ile hadithi ya kijana aliekufa kwa kujirusha kutoka juu ya gorofa lakini kabla ya kufika chini akakutana na risasi ilifyatuliwa na baba yake, na hio risasa huyo kijana ndie Alie iweka kwenye bunduki ya baba make I'll kusudi baba make amuue mama yake kwa kua Mara nyingi baba yake alikua akimtishia mama yake bunduki kila wakigombana.
Sasa kijana alivyoona azma yake ya kuuwawa mama yake akaona heri ajiue, alipanda gorofa ya juu zaidi ili ajirushe, ajabu alivyojirusha kufikia kwenye gorofa yao akakutana na risasa kutoka kwenye ile bunduki.

Kesi hio ilikua ngumu Sana kwamba Nani mwenye hatia hapo!

Mwishowe ikaonekana Ni kisa Cha kutungwa tu hakijawahi kutokea.
Hakuna utunzi mkuu, it's real. Hii kesi ni moja wapo iliyowapa FBI stress wakati huo.
 
Hivi huu utamaduni wa Masai kuua Simba ukizingatiwa barabara Kuna Simba watabaki kweli?
😂 😂 😂 Ndio maana ni hatia sahi, wanafanya mila zingine lakini hiyo walisha pigwa ban, ole wako ukutwe na maafisa wa wanyama pori umeua mnyama pori, mamaeeeee, wale ni zaidi ya wanyama!!! 🤣 🤣 🤣 Utatamani dunia ifunguke, ikumeze!
 
Ni hadithi tu ndugu yangu za kuleta challenge kwenye sheria.
Lakini pia ina, mashaka yake, 1-jamaa aliiteka ndege sababu ya njaa ya pesa?
2-bomu alilobeba, lilikuwa la kazi gani kama lilikuwa sio la kulipuliwa.
3-alipitaje na bomb bila kuwa dictated pale airport, pamoja na kuwa kuna scans imara.
4-Ndege aliyoiteka inasemekana huwa inatumika sana sana na watu wa security wa ndani ya serikali, ilikuwaje mtu yeyote ku book ticket ya ndege hiyo bila kuwa checked vizuri ni nani hata kama shirika la ndege ni public.
5-Mwisho, mtu anapoteaje, na hapatikani wala haonekani milele, na pesa alizoziiba licha ya kuwa FBI walikuwa na serials zake, hakuna iliyowahi kutumika pahali angalau kuwe na link ya mtuhumiwa. Isipokuwa lile bunda moja tu, lililookotwa na dogo mtoni, basi tu hakuna tena. 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Kesi inachangamoto, na kama ni test basi FBI walikula bonge la test dadeq! 🤣
 
Mapenzi bhana! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Sielewagi aliona nini hapo Macron, ama alilishwa limbwata la kizungu!? [emoji1787] [emoji1787]
Dizain hiz unakuta kipind umevurugwa na yey anajipitisha unaona ugonge ili kupunguza presha ya mawazo mwishowe unajikuta umemzoea unaona isiwe tabu bora umvute karibu kupunguza gharama za kutuma nauli hatimaye marafik wanapata kadi za michango baadae mialiko linakua km picha LA kihindi.
 
Dizain hiz unakuta kipind umevurugwa na yey anajipitisha unaona ugonge ili kupunguza presha ya mawazo mwishowe unajikuta umemzoea unaona isiwe tabu bora umvute karibu kupunguza gharama za kutuma nauli hatimaye marafik wanapata kadi za michango baadae mialiko linakua km picha LA kihindi.
😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom