Kumbe wine sio pombe??!!!.Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Amina mtumishi tuko pamoja.View attachment 1289066
Hapa Tu. HAPAAAAAA TUUUUUU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2996][emoji2996][emoji2996][emoji1550]nialikeUkitaka kuwakomesha wanywa pombe mkiwa bar, we agiza BALTIKA
Heshima kwako halafu watupie ofa uone wote watafyata.
Duh kwanini[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Kichwa cha habari kingekua : WAGONJWA
Mnyama[emoji817][emoji736]Karibuni. View attachment 1835560
Umeacha kunywa Robertson?Asee... Bora umeanzisha kauzi ketu[emoji122]
Haya masober tutiririke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] Aaagh nani aache gambe??Umeacha kunywa Robertson?
Wine sio pombe mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] sisi wapenzi wa wine tumeiweka fungu la mirinda nyeusi..Kumbe wine sio pombe??!!!.
Hahaha mimi nipo likizo. Miezi kadhaa sijagusa pombe. Nataka nifikishe hata miaka miwili.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16] Aaagh nani aache gambe??
Nimerudi kwa fast ya jet
Tumefanana hapoMirinda nyeusii
Fanta orange
Waliotengeneza fomula za hivi vinywaji Mungu awapunguzie adhabu ya kaburi
Anazuga tuUmeacha lini pombe muanzisha mada?
Aaah wapi? Hutaweza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha mimi nipo likizo. Miezi kadhaa sijagusa pombe. Nataka nifikishe hata miaka miwili.
Dare me 😂😂.Aaah wapi? Hutaweza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na siku ukirudi lazima uzime bar
Mo Energy bei 500/= wakati red Bull 4,000/= WHY?au Mo anauza sumu?