Hivi wine sio pombe?Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Matapishi ya mlevi nzi hakanyagiKuna mlevi kanywa mibia yake katapika! Kweli pombe si chai
Dada yangu ondoka huko utapata kisukari bureeeeeSoda fanta orange[emoji23] [emoji23]
Basi ni sumuMatapishi ya mlevi nzi hakanyagi
Sio pombeHivi wine sio pombe?
Kweli ila sio wote.ha ha ha ukifanya utafiti unaweza ukagundua wengi wanaotumia vinywaji bila kilevi huwa ni waongo na wanafiki,lakini watumiaji wa vinywaji vikali huwa wanafunguka na kusema ukweli.Hata kwenye mishe marafiki wanaotumia kileo ndio huwa na mawazo ya kuleta maendeleo.
😀 😀 😀 😀Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
ha ha ha ukifanya utafiti unaweza ukagundua wengi wanaotumia vinywaji bila kilevi huwa ni waongo na wanafiki,lakini watumiaji wa vinywaji vikali huwa wanafunguka na kusema ukweli.Hata kwenye mishe marafiki wanaotumia kileo ndio huwa na mawazo ya kuleta maendeleo.
Ni kweli,angalia hata wale wanaowachongea watu maofisini au makaziniKweli ila sio wote.
Me napenda mirinda nyeusi,wewe je aunt?Asee... Bora umeanzisha kauzi ketu[emoji122]
Haya masober tutiririke
Kwa hiyo dompo wine umeona ni nyepesi kuliko Serengeti liteBaada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.
Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Thank u mamii...iko kwenye list this weekendOk
Basi tumia drostdy hof sweet nzuri
Kuna alcohol na nonHivi wine sio pombe?