Nasepaaaa[emoji23]Dada yangu ondoka huko utapata kisukari bureeeee
Mirinda nyekuunduMe napenda mirinda nyeusi,wewe je aunt?
Basi kesho ntakuletea kwa officeMirinda nyekuundu
Okay, thanks. Ila jamaa naona ame generalizeKuna alcohol na non
Unikaribishe bestThank u mamii...iko kwenye list this weekend
Huu wa ndumu ujumuishe na mrungi+ugolo.Mi nataka nianzishe uzi maalumu wa wala ndumu,sjui mods wataucha uishi?
Karibu barracuda tabata "the great park pub" jumamosi mchanaUnikaribishe best
SanteeBasi kesho ntakuletea kwa office
Si unafanyia pale.......Santee
PalepaleSi unafanyia pale.......
Ewaaa,nimepakumbuka nilijua umeacha!Palepale
Ok sio kitu ya kuacha saa 8 nipo hapo[emoji12]Karibu barracuda tabata "the great park pub" jumamosi mchana
Poa poa most welcomeOk sio kitu ya kuacha saa 8 nipo hapo[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...Mo Energy bei 500/= wakati red Bull 4,000/= WHY?au Mo anauza sumu?
Hawajielewi hawaKwa hiyo dompo wine umeona ni nyepesi kuliko Serengeti lite