Mada maalumu ya wanaotumia vinywaji laini na sio pombe

Mada maalumu ya wanaotumia vinywaji laini na sio pombe

IMG_20180905_130317.jpg
 
ha ha ha ukifanya utafiti unaweza ukagundua wengi wanaotumia vinywaji bila kilevi huwa ni waongo na wanafiki,lakini watumiaji wa vinywaji vikali huwa wanafunguka na kusema ukweli.Hata kwenye mishe marafiki wanaotumia kileo ndio huwa na mawazo ya kuleta maendeleo.
Walevi sio waongo ni watu waaminifu sana
...ww peleleza utaniambia
 
Wacha uchokazi rudi kule kwetu kwenye mawazo mtambuka, huku utaishia kucheka kama sio kuchekwa.
Nimesona komenti naona shida watakua hawajui kutafuta, wanafikiri kutumia kidongo ndio kuongeza hazina.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Baada ya walevi kuamua kuwa na uzi wao maalum sasa ni nafasi muafaka kabisa kwa wale wasio tumia vilevi, isipokua vinywaji laini laini tu kama maji, juice, chai na hata bila kuwatenga wale wanaotumia wine tu.

Karibuni jamani, tupeane kampani hapa.
Msisahau na mapambio
 
Back
Top Bottom