NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Ra
Raha saaana!Kwahiyo mkinywa maji mnajisikiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raha saaana!Kwahiyo mkinywa maji mnajisikiaje?
[emoji23][emoji23][emoji23]Isijekua umechangia ukiwa umelewa tayari.
Kuna mdada mmoja alimlazimisha mlevi azame chumvini yule mlevi si alitapikia humo lahaula.Kwahiyo ukiwa mtu wa viwanja lazima unywe pombe?[emoji15]
Na nini kinakufanya uhisi mi mtu wa viwanja?
Wacha aruke ruke siku anavua pichu ndio mwisho wa hizo ofa kmamahe!Ha ha ha anakula maisha kwanza,anajua akiachia tu hizo outing zinakufa
I fall in love with indicaMi nataka nianzishe uzi maalumu wa wala ndumu,sjui mods wataucha uishi?
Hiki ni kinywaji au dawa???Juice ya tende yenye maziwa, korosho/karanga na asali.
Vyote kwa pamoja mkuu, jaribu kuitumia hutajuta.Hiki ni kinywaji au dawa???
Naomba number yake🤔[emoji85]Hivi Wine sio Pombe?
Nakumbuka shoga yangu tena ni muislamu sala tano, wakati niko huko Tanzania (Dar) alikuwa anapenda kuambatana na sisi tunapojilipua kwenda kwenye vinywaji. Cha ajabu akawa anakunywa SAVANNAH. Kila tukimwambia hiyo ni pombe tena ina kilevi kikubwa alikuwa anakataa.
Miss you Shufaa
HahahahahaNzi wengi hapa,kuna nini kwani?
Hahahaa ulevi na papuchi ni pete na kidole mana tupo wengi tukishalewa tu akili yote inahamia chini[emoji23]Na sisi wazee wa papuchi tuje humu
Umeonaa......mpaka wana sisimuaWalevi wana majungu mno..
Unamaanisha togwa toka kijijini kwenu.Huu uzi naona umejaa wstu maskini ila ngoja niwasaidie
Nishaongea na mzee Bakhresa kakubali order yangu ya kuniletea pipa mbili zilizohaa juisi week end kwenye hekalu langu hapa Bunju
WanaJf wote mnakaribishwa kunywa hadi mchoke
Cc
Da'Vinci
baba swalehe
Bitoz