Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,501
Ni vema wakajaribu kumuweka karibu na watoto wenzake lkn anaweza bado akajitenga hata ukifanya hivi. Pia ajitahidi kumuandikisha kwenye klabu mbali mbali zinazokutanisha watoto wa umri wake.Poleni sana, hakikisheni anakuwa muda mrefu na watoto wenzie na hata kama mnaweza kuwaomba hao watoto muda mwingi wajaribu kumuongelesha labda inaweza kusaidia naye akaanza kuongea. Hakikisheni pia hana matatizo ya ukiziwi. Kila la heri.