Huyu Mwanangu Wa Kiume , Ana Umri Wa miaka miwili na Miezi Miwili, lakini Ajabu Hadi Sasa hajui kutamka Mama Wala baba Yeye Akishamka Ni kuguna Tu Na Kuimba hadi Siku Inaisha Ni Mhhh..... Aahhhh
.... Eeeeh.......!!!
Majirani Wanamsema Vibaya Kuwa Mtoto Mkubwa lakini Anazidiwa Hata Na Wadogo wenzie yaani Hajui kuongea chochote, hii Inanipa Stress Mimi Kama Mzazi Najisikia Vibaya Sana Na Sijui Nifanyeje Ili Mwanangu Aongee
Naombeni Mnisaidie Jinsi gani Nitamfanya mwanangu Ajue Kutamka Maneno kama baba n.k
Mtoto wako hana tatizo akbisa.
Tatizo ni mazingira kwa sababu mtoto ili aongee haraka ni lazima akae muda mrefu na watu wa lugha husika.
Mwanao kama anacheza na watoto wenzake mnooo basi itakuwa ngumu kongea haraka kwa sababu hao watoto nao hawapatii maneno.
Mtoto kama anakaa nyumba ambayo hakuna pirika za maisha ni ngumu kuomgea kwa sababu mtoto hujifunza na matukio.
Ndio maana watoto wa kizaramu huwa wanaongea sana kwa sababu wanaishi kwenye mchanganyiko wa watu hivyo ni rahisi kwao kujifunza mapema lugha.
Mtoto acheze na watu wajuzi wa lugha,kqma mtoto anakaa na wstu wakimya basi atachelewa kuomgea.
Kuna msemo huwa katika falsafa yangu ya kumkuza mtoto kiligha inasema " mtoto ataweza kuongea lugha ambayo anaisikia tu,na atakiongea kile anachokisikia tu"
Usitegemee mtoto aseme naomba maji wakati hajawahi kusikia hiyo kauli katika mazingira anayoishi ikitamkwa mara kwa mara.
Mtoto usitegemee anasema "baba unnarudi wapi" wakati hajawahi kumsikia mama yake akikuuliza wewe baba.
Mtoto hawezi kusema "hili ni shati" wakati hawawahi kusikia neno hilo likitamkwa mara kwa mara.
Jitahidi ili awe anaongea lazima akae na watu waongeaji.
Lakini akikaa na watu wa matusi mtoto naye matusi hayatamuisha.
Huo umri wa mwanao hapo ndo hujifunza yote mazuri na mabaya na mbaaya zaidi hajui baya wala zuri,na baya zaidi ukimuambia hili baya haelewi yeye naajua kuiga tu.
Solution sasa awe anakaa sehemu salama ya tabia na asikilize sana watu wakiongea sio mtoto wafungie ndani na mama ake tu yeye anachosikia "acha hiyooo"
Takuchapaaaa
Toka hapaaaa.
Kulaaaa