MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

Hello Mimi nilifata ushauri kutoka huku kwamba mtoto alochelewa kuongea dawa yake mizizi ya mbaazi tukafata na maelekezo jinsi ya kwenda kuchimba na kutumia,tulichemsha tukampa mtoto akanywa kwa muda ya siku 21 lakin bado mtoto hajaonesha dalili ya kubadilika,mtoto ana tatizo now ana miaka mitano kasoro hajaongea ulimi mzito jaman ila kusikia anasikia tatizo lipo kwenye kuongea tu,anachojua yye ni mama tena anaitamka kwa shida kidogo na amo yan shkamoo, jaman naomben msaada wenu tufanyeje... . Asante [emoji4]
 
Nimejaribu kwenda kwa watumishi lakini wameniambia mtoto mwenyewe hana tatizo. Ila kwenye kizazi changu nimewekewa bomu na wachawi ili kila uzao upate shida na wakaniombea hakuna kilichopatikana.na mdogo wake aliemfuata hana tatizo hilo kabisa.na kiufupi mimi ni mkristuninaeishi kikristu kabisa.

Mpaka sasa nimechanganyikiwa nimsaidiaje huyu mwanangu nae aongee kama watoto wenzie sipati jibu.ila kama utakuwa kuna watumishi wa mungu ambao unaamini ni watu wa mungu(maana wengi sasa ni matapeli) unaowafahamu naomba nisaidie kunielekeza kufika nikawaone nipo tayari.mimi nipo dar es salaam.asante.
Sio ushirikin dear mpeleke mtoto shule pia hospital wakwangu nae hivyohivyo
 
Hapana bado Anajitenga kulala sio mbaya mwanzo alikuwa anasumbua sana usiku kucha kuhusu kula anachagua sana mboga bila nazi hali tena anapenda wali mbaya zaidi hatafuni anameza tu.ni mtundu pia anapenda kushika vitu mkononi na kuchezea vitabu
Vipi maendeleo ya mwanao mwanangu ana miaka minne anatabia kama ulizotaja
 
Kwa mwenzi unamuwekea kwenye kikombe anakunywa kama juice
Wa kwangu wote wanachelewa sana kuongea, sioni kama ni tatizo, huyo mdogo ana mwaka na miezi saba, anachoweza ni Baba na Dada basi, but sina shida najua atakuja kuongea hadi basi. Sitaki presha
 
Wa kwangu wote wanachelewa sana kuongea, sioni kama ni tatizo, huyo mdogo ana mwaka na miezi saba, anachoweza ni Baba na Dada basi, but sina shida najua atakuja kuongea hadi basi. Sitaki presha
Kuna tatizo pia mkuu ujawahi kukutana na mtu umri umeenda ila angiongea huwezi muelewa yaani mdomo kutamka maneno vizuri
 
Huyu Mwanangu Wa Kiume , Ana Umri Wa miaka miwili na Miezi Miwili, lakini Ajabu Hadi Sasa hajui kutamka Mama Wala baba Yeye Akishamka Ni kuguna Tu Na Kuimba hadi Siku Inaisha Ni Mhhh..... Aahhhh
.... Eeeeh.......!!!

Majirani Wanamsema Vibaya Kuwa Mtoto Mkubwa lakini Anazidiwa Hata Na Wadogo wenzie yaani Hajui kuongea chochote, hii Inanipa Stress Mimi Kama Mzazi Najisikia Vibaya Sana Na Sijui Nifanyeje Ili Mwanangu Aongee

Naombeni Mnisaidie Jinsi gani Nitamfanya mwanangu Ajue Kutamka Maneno kama baba n.k
Wangu anaminne ila kama wako jaopo nimempeleka shule anaanza kuchangamka shule ni muhinu Dana , usikate tamaa
 
Huyu Mwanangu Wa Kiume , Ana Umri Wa miaka miwili na Miezi Miwili, lakini Ajabu Hadi Sasa hajui kutamka Mama Wala baba Yeye Akishamka Ni kuguna Tu Na Kuimba hadi Siku Inaisha Ni Mhhh..... Aahhhh
.... Eeeeh.......!!!

Majirani Wanamsema Vibaya Kuwa Mtoto Mkubwa lakini Anazidiwa Hata Na Wadogo wenzie yaani Hajui kuongea chochote, hii Inanipa Stress Mimi Kama Mzazi Najisikia Vibaya Sana Na Sijui Nifanyeje Ili Mwanangu Aongee

Naombeni Mnisaidie Jinsi gani Nitamfanya mwanangu Ajue Kutamka Maneno kama baba n.k
Vip kwa sasa mtoto anaongea?
 
Hivi ndivyo alivyokua mwanangu, naye alichelewa kuongea tena alikua hajichanganyi na watoto wengine. Hata ukimuweka kwenye kundi la watoto baada ya muda alikua anajitenga.

Sasa hivi yuko std 5 anaongea lakini bado ana tabia za pekee. Hebu jaribu kumuangalia ulimi wake yaani chini ya ulimi kukoje. Wakati mwingine waweza kuta ulimi umeshikiliwa na kinyama/ sijui kinaitwa tongue tie .
Autism
 
Nimejaribu kwenda kwa watumishi lakini wameniambia mtoto mwenyewe hana tatizo. Ila kwenye kizazi changu nimewekewa bomu na wachawi ili kila uzao upate shida na wakaniombea hakuna kilichopatikana.na mdogo wake aliemfuata hana tatizo hilo kabisa.na kiufupi mimi ni mkristuninaeishi kikristu kabisa.

Mpaka sasa nimechanganyikiwa nimsaidiaje huyu mwanangu nae aongee kama watoto wenzie sipati jibu.ila kama utakuwa kuna watumishi wa mungu ambao unaamini ni watu wa mungu(maana wengi sasa ni matapeli) unaowafahamu naomba nisaidie kunielekeza kufika nikawaone nipo tayari.mimi nipo dar es salaam.asante.
Mkuu vipi ulifanikiwa kumtibia mtoto
 
Dah pole saana mkuu, kuna uzi niliuketaga humu (in 2016) ukiulizia hili jambo. Na mm lilinsibu ila nimempatia speech therapist ndo naona anaanza improve.
Pole saana
Mkuu unaweza nisaidia namba ya huyo therapist
 
nawashukuru sana wote mlionisaidia mawazo maana nimechanganyikiwa na hili tatizo.ninayafanyia kazi nitaleta updates.mungu awabariki.nakaribisha mawazo zaidi.
pole sana,tupe mrejesho wa mtoto wako hadi sasa alipofikia
 
Mtoto wa miezi mitatu anatakiwa kunyonya maziwa ya mama pekeyake. Fuatilia kama mama anamyonyesha mtoto ipasavyo.
naomba kuuliza,mtoto alizaliwa na kilo 3 na point 2,kliniki yake ya kwanza akawa na kilo 5 point 3,na kliniki yake ya pili akawa na kilo 8 point 2,je kwa ongezeko ilo la kilo 2 ndani ya mwezi na ongezeko la kilo 3 mwezi unaofuata ni sawa mtoto kwa sasaivi ana miezi miwili na nusu
 
Back
Top Bottom