Nionyeshe then nikizipata ndio nakugawiaNipe hela [emoji23]
Jr[emoji769]
Kurumbua... Nimepata msamiati mpyaKula vitu vidogo vidogo kwa maneno ya mtaani kwetu wanaita rumbu rumbu.
Mie huu ugonjwa wa kulumbua ninao!! Ninaweza nikala mlo mzito mmoja tu ama ikizidi mnoo mara mbili basi tena hapo niwe na mtu home wa kunipikia pikia, kama hamna ni mlo mmoja tu basi, kama hapa toka asubuhi nilipata kwenda pwani , nimebugia viazi na samaki, hapa ni mwendo wa kurumbua tu! Nipate juice, nile ice cream n.k
[emoji23][emoji23][emoji23]tunakula za buuureeee
Jr[emoji769]
Kulumbua hili neno nilikua nalisikia kwa bibi zangu wa Kimanyema, wakianza kuwasimanga mabinti wasiopenda ugali wao ni kulumbua lumbua tuchipsi na tusambusa,Kula vitu vidogo vidogo kwa maneno ya mtaani kwetu wanaita rumbu rumbu.
Mie huu ugonjwa wa kulumbua ninao!! Ninaweza nikala mlo mzito mmoja tu ama ikizidi mnoo mara mbili basi tena hapo niwe na mtu home wa kunipikia pikia, kama hamna ni mlo mmoja tu basi, kama hapa toka asubuhi nilipata kwenda pwani , nimebugia viazi na samaki, hapa ni mwendo wa kurumbua tu! Nipate juice, nile ice cream n.k
[emoji23][emoji23][emoji23]huwa inakuja automatically
Jr[emoji769]
Kulumbua hili neno nilikua nalisikia kwa bibi zangu wa Kimanyema, wakianza kuwasimanga mabinti wasiopenda ugali wao ni kulumbua lumbua tuchipsi na tusambusa,
Napenda sana kulumbua, chumbani kwangu lazima kuwe na chocolate, crips, biscuit, hapa sasa hivi nakula ubuyu mkali wa pilipili huku nachat.
Ni hobby..vipi na wewe ni hobby yako 😀😀Hivi kuhonga ni tabia, ni hobby ama ni ulevi? Maana kuna watu wasipohonga wanajisikia vibaya mno
Jr[emoji769]
Shisha...hii kitu inalewesha
Wazee wa kubang