Mada ya vilevi vingine

Mada ya vilevi vingine

Kula vitu vidogo vidogo kwa maneno ya mtaani kwetu wanaita rumbu rumbu.

Mie huu ugonjwa wa kulumbua ninao!! Ninaweza nikala mlo mzito mmoja tu ama ikizidi mnoo mara mbili basi tena hapo niwe na mtu home wa kunipikia pikia, kama hamna ni mlo mmoja tu basi, kama hapa toka asubuhi nilipata kwenda pwani , nimebugia viazi na samaki, hapa ni mwendo wa kurumbua tu! Nipate juice, nile ice cream n.k
Kurumbua... Nimepata msamiati mpya

Jr[emoji769]
 
Kula vitu vidogo vidogo kwa maneno ya mtaani kwetu wanaita rumbu rumbu.

Mie huu ugonjwa wa kulumbua ninao!! Ninaweza nikala mlo mzito mmoja tu ama ikizidi mnoo mara mbili basi tena hapo niwe na mtu home wa kunipikia pikia, kama hamna ni mlo mmoja tu basi, kama hapa toka asubuhi nilipata kwenda pwani , nimebugia viazi na samaki, hapa ni mwendo wa kurumbua tu! Nipate juice, nile ice cream n.k
Kulumbua hili neno nilikua nalisikia kwa bibi zangu wa Kimanyema, wakianza kuwasimanga mabinti wasiopenda ugali wao ni kulumbua lumbua tuchipsi na tusambusa,

Napenda sana kulumbua, chumbani kwangu lazima kuwe na chocolate, crips, biscuit, hapa sasa hivi nakula ubuyu mkali wa pilipili huku nachat.
 
Kulumbua hili neno nilikua nalisikia kwa bibi zangu wa Kimanyema, wakianza kuwasimanga mabinti wasiopenda ugali wao ni kulumbua lumbua tuchipsi na tusambusa,

Napenda sana kulumbua, chumbani kwangu lazima kuwe na chocolate, crips, biscuit, hapa sasa hivi nakula ubuyu mkali wa pilipili huku nachat.

Hapo kwenye ubuyu wa pilipili ushanijaza mate ya uchu kinywani mwangu ujue..

Hapa nishalumbua ndizi mbili, muuza ice cream wa bakhresa kapita kanilingishia kuna mpya za tikiti nikaruka nayo moja! Nimegida na juice ya parachichi! Naona dunia inaniendea sawa sawia tu.
 
Back
Top Bottom