Mada ya wanyama

Rattlesnakes na nyoka wengine wanaokaa mashimoni hutumia macho yao kuona wakati wa mchana, kama wanyama wengine wengi wenye uti wa mgongo, lakini wakati wa usiku, wanyama hawa wanaotambaa hutumia mfumo wao wa infrared kugundua na kuwinda mawindo ya wanyama wenye damu-joto ambao wasingeweza kuonekana kabisa katika anga za nyoka hao.

Kidubwasha chenye mfumo wa infrared kina umbo kama kikombe ambacho husaidia kutoa mionzi ya infrared na kuruhusu retina ya jicho la nyoka kupiga picha eneo la windo (prey) lenye joto na hatimaye kukamata windo.


Baadhi ya wanyama, ikiwa ni pamoja na tai, hedgehogs, na kamba, wanaweza pia kuona chini ya ultraviolet spectrum.
Binadamu hawawezi kuona mwanga wa infrared au
ultraviolet kwa jicho lake pekee.
 
Nimekumbuka mbali sana.
 
Hivi mshana umeacha kazi ranger safari sijakuona siku nyingi
 
Mkuu una ushemeji na nguruwe,maana sio kwa kulalama huko
 
Daaaaah! itakuwa wamepata pengo kubwa mzee wa lugha ngumu wakija wageni hata ungekuwa icu watachomoa oxygen ukafanye kazi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kuna kazi hata ukistaafu unaongezewa mkataba
 
Kwa
Imani inasema ni wavivu kwasababu imezoeleka all cold blooded mammals wanaspeed wanapomove, hawa wanatembea taratibu kwasababu yakusave energy miilini mwao. Kwa upole upole wao wanaliwa sana na duma weusi na wakijivu huko Costa Rica. Hata wakimuona adui wanashindwa kuongeza speed what a sad creature on Earth!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…