Mada ya wanyama

Uzi mzuri nimeu subscribe nitausoma taratibu una madini, ckuwahi kuuona cjui kwnn aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kinachonifanya niungane na swala 5 kuamini kuwa nguruwe ni mnyama aliyelaaniwa ni kitendo cha mnyama huyu kushindwa kuangalia angani

wanajuaga nyinyi ni wajinga ndio sababu wanawatia kamba.nguruwe angani anaangalia kwa taarifa yako,tatizo mnasimuliwa na wasiomjua nguruwe.

nguruwe kalaaniwa faru nayeye ana laana gani!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…