kama kuna komba anaishi kwenye mti karibu na nyumba yako, ukiacha glass ya bia nje usiku, asubuhi utakuta komba alishajisevia.[emoji23]Pen tailed tree shrew, kipanya kidogo , nadhani ni jamii ya komba, kinachopiga gambe siku nzima.
Kanaishi kwenye minazi na kakinywa nectar iliyooza (ferment) ya maua ya miti hiyo (bertam palm). Hiyo nectar inaweza fikia alcohol content ya ya 3-4%,
. Nilisikia kuwa komba (bushbaby) nao ni wapenzi wa pombe, kama kuna komba anaishi kwenye mti karibu na nyumba yako, ukiacha glass ya bia nje usiku, asubuhi utakuta komba alishajisevia.
Kibongobongo huyu ndege ni baharia mwenye ghetto lenye carpet la manyoya na bonge la sofa, huenda na subwoofer piaBowerbird, huyu ndege vijana wa JF wanaweza kumuita baharia wa ndege. Wa kiume wanajenga viota na kuvipamba vizuuri ili kuvutia mpenzi. Wa kike wanakagua na kuchagua kiota kipi kimependeza ndo anaingia/kubali kuwa na huyo dume. Wako vizuri sana katika kupangilia rangi na wanatumia kila aina ya vitu kupamba kiota kama vile mawe, maua, vitu vya kibinadam kama vifuniko vya chupa, vipande vya glass...
Kibongobongo huyu ndege ni baharia mwenye ghetto lenye carpet la manyoya na bonge la sofa, huenda na subwoofer pia
Siyo kila wanyama wana makundi.Wana maisha yao na mipango kama sisi tu, wana familia, wana makundi,wana viongozi wana maadui na marafiki
Mnyama mwenye highest success rate kwenye kuwinda ni duma ila anadhulumiwa most of their kills.Hawa wanaogopwa na kuheshimiwa kama watawala wa nyika.
Ila kama wewe ni mnyama wa kuwindwa (mf. punda milia), ukiwaona hawa wazee wanakufuatilia, we pambana na kimbia maana unaweza ukapona maana inasemekana simba wanashindwa kukamata mnyama mara nyingi zaidi kuliko kupata (success rate 25%).
Ila ukiona unawindwa na kundi la hawa jamaa wengine, mbwa mwitu, get your affairs in order na sali toba na sala zako za mwisho maana unaweza kuwa na uhakika wa kifo. Hawa jamaa ndo vinara wa successful hunt nyikani (85%). Wakikuamulia hawa jamaa jua umekwisha.
Wakikua wote unafikiri tungeishi hapa duniani?Siyo kila wanyama wana makundi.
Wanyama wengi ni very territorial na hawapendi kuchangamana wanyama wengine hukaa kwa makundi kama vile simba, mbwa mwitu na fisi.
Wanaokaa kwa makundi hua haiwezekani simba wa kundi hili wakakutana na wa eneo jingine halafu zikaiva. Ni lazima zipigwe, nafikiri katika big cats ni simba tu ndiye anakaa kwa makundi wengine wote ni kila mmoja kivyake.
Wanyama wengi hukutana kipindi cha kupandana tu na baadhi ya wanyama, mfano nyoka (mtoe rock python na baadhi kama bush master) au sea turtle wakishataga mayai ndiyo hawarudi tena hilo eneo.
Hence hiki kichanga kitakua bila familia surviving on instincts. In the wild kwa wastani katika vitoto vinne ni kamoja tu katafikia utu uzima hii low survival rate inaenda kwa wanyama wote. Rock python atataga mayai wataanguliwa watoto zaidi ya 20 lakini watakaofikia utu uzima hawatozidi 5.
Kama Kingai na GoodluckMkuu;
1.Kinyonga:
Kinyonga ni mnyama mwenye Upendo wa hali ya juu. Anapofikia hatua ya kuzaa, hupanda juu ya mti mrefu sana na hujiachia/hujidondosha na akifika chini hupasuka/husambaratika ili watoto watoke. Anakufa kwa ajili ya watoto kuishi. Anajifanyia caesarian section Binafsi
2. Mbwa koko:
Mbwa mwenye watoto hubangaiza na akirejea /akirudi pale kwenye kundi la watoto huwatapikia chakula alichookoteza na maisha yanasonga. Usipolielewa hilo utakereka na kuona kinyaa sana kwa Tabia hii.
3.Binadamu:
Binadamu hapendi kuambiwa UKWELI kwamba yeye ni mmojawapo wa WANYAMA tena mnyama hatari zaidi Duniani. Bora Ukutane na kundi la Simba kuliko kukutana na Binadamu mmoja hususan adui yako!
Hebu leta source ya kusapoti kwamba kinyonga hujipasua kwa kupanda juu ya mti ili azaeMkuu;
1.Kinyonga:
Kinyonga ni mnyama mwenye Upendo wa hali ya juu. Anapofikia hatua ya kuzaa, hupanda juu ya mti mrefu sana na hujiachia/hujidondosha na akifika chini hupasuka/husambaratika ili watoto watoke. Anakufa kwa ajili ya watoto kuishi. Anajifanyia caesarian section Binafsi
2. Mbwa koko:
Mbwa mwenye watoto hubangaiza na akirejea /akirudi pale kwenye kundi la watoto huwatapikia chakula alichookoteza na maisha yanasonga. Usipolielewa hilo utakereka na kuona kinyaa sana kwa Tabia hii.
3.Binadamu:
Binadamu hapendi kuambiwa UKWELI kwamba yeye ni mmojawapo wa WANYAMA tena mnyama hatari zaidi Duniani. Bora Ukutane na kundi la Simba kuliko kukutana na Binadamu mmoja hususan adui yako!
Google tu Mkuu, utaipata hiyo.Hebu leta source ya kusapoti kwamba kinyonga hujipasua kwa kupanda juu ya mti ili azae
Mimi ninavyojua haipo hivyo ulivyosema. Hebu google halafu screenshot jibu lipost hapa.Google tu Mkuu, utaipata hiyo.
Wanapatikana wapi hawa?Costume Ape View attachment 1723904
Wanywa kahawa hao achana nao.Hebu leta source ya kusapoti kwamba kinyonga hujipasua kwa kupanda juu ya mti ili azae
Wanapatikana wapi hawa?
Asante,ni kweli wanapendezaHawa wanapatikana Vietnam, Indochina, mpaka Cambodia
Ni wao tu ndio wana rangi nzuri kuliko nyani wote duniani
Yaani kama wamevaa koti na suruali
Asante,ni kweli wanapendeza