Mada ya wanyama

Mada ya wanyama

Pen tailed tree shrew, kipanya kidogo , nadhani ni jamii ya komba, kinachopiga gambe siku nzima.

pen-tailed-treeshrew-a553f7ad-f668-40f2-99fa-5d383286b31-resize-750.jpeg


Kanaishi kwenye minazi na kakinywa nectar iliyooza (ferment) ya maua ya miti hiyo (bertam palm). Hiyo nectar inaweza fikia alcohol content ya ya 3-4%,

. Nilisikia kuwa komba (bushbaby) nao ni wapenzi wa pombe, kama kuna komba anaishi kwenye mti karibu na nyumba yako, ukiacha glass ya bia nje usiku, asubuhi utakuta komba alishajisevia.
kama kuna komba anaishi kwenye mti karibu na nyumba yako, ukiacha glass ya bia nje usiku, asubuhi utakuta komba alishajisevia.[emoji23]
 
Bowerbird, huyu ndege vijana wa JF wanaweza kumuita baharia wa ndege. Wa kiume wanajenga viota na kuvipamba vizuuri ili kuvutia mpenzi. Wa kike wanakagua na kuchagua kiota kipi kimependeza ndo anaingia/kubali kuwa na huyo dume. Wako vizuri sana katika kupangilia rangi na wanatumia kila aina ya vitu kupamba kiota kama vile mawe, maua, vitu vya kibinadam kama vifuniko vya chupa, vipande vya glass...

Kibongobongo huyu ndege ni baharia mwenye ghetto lenye carpet la manyoya na bonge la sofa, huenda na subwoofer pia
f1bd70c27c25040eac7921c0cbcca06c.jpg
94977dcb9cccad22de837996af23279b.jpg

9019bd610cb47b6bbc7e7c1b7c91fcca
Kibongobongo huyu ndege ni baharia mwenye ghetto lenye carpet la manyoya na bonge la sofa, huenda na subwoofer pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wana maisha yao na mipango kama sisi tu, wana familia, wana makundi,wana viongozi wana maadui na marafiki
Siyo kila wanyama wana makundi.

Wanyama wengi ni very territorial na hawapendi kuchangamana wanyama wengine hukaa kwa makundi kama vile simba, mbwa mwitu na fisi.

Wanaokaa kwa makundi hua haiwezekani simba wa kundi hili wakakutana na wa eneo jingine halafu zikaiva. Ni lazima zipigwe, nafikiri katika big cats ni simba tu ndiye anakaa kwa makundi wengine wote ni kila mmoja kivyake.

Wanyama wengi hukutana kipindi cha kupandana tu na baadhi ya wanyama, mfano nyoka (mtoe rock python na baadhi kama bush master) au sea turtle wakishataga mayai ndiyo hawarudi tena hilo eneo.

Hence hiki kichanga kitakua bila familia surviving on instincts. In the wild kwa wastani katika vitoto vinne ni kamoja tu katafikia utu uzima hii low survival rate inaenda kwa wanyama wote. Rock python atataga mayai wataanguliwa watoto zaidi ya 20 lakini watakaofikia utu uzima hawatozidi 5.
 
Hawa wanaogopwa na kuheshimiwa kama watawala wa nyika.

lion-pride-picture-id513047404


Ila kama wewe ni mnyama wa kuwindwa (mf. punda milia), ukiwaona hawa wazee wanakufuatilia, we pambana na kimbia maana unaweza ukapona maana inasemekana simba wanashindwa kukamata mnyama mara nyingi zaidi kuliko kupata (success rate 25%).

Ila ukiona unawindwa na kundi la hawa jamaa wengine, mbwa mwitu, get your affairs in order na sali toba na sala zako za mwisho maana unaweza kuwa na uhakika wa kifo. Hawa jamaa ndo vinara wa successful hunt nyikani (85%). Wakikuamulia hawa jamaa jua umekwisha.

Getty-wild-dogs-164887546_Minden-Pictures-RM_.jpg
Mnyama mwenye highest success rate kwenye kuwinda ni duma ila anadhulumiwa most of their kills.

So fisi wanaweza tega sehemu kusubiri duma aue kisha wanaenda kumpokonya.
 
Siyo kila wanyama wana makundi.

Wanyama wengi ni very territorial na hawapendi kuchangamana wanyama wengine hukaa kwa makundi kama vile simba, mbwa mwitu na fisi.

Wanaokaa kwa makundi hua haiwezekani simba wa kundi hili wakakutana na wa eneo jingine halafu zikaiva. Ni lazima zipigwe, nafikiri katika big cats ni simba tu ndiye anakaa kwa makundi wengine wote ni kila mmoja kivyake.

Wanyama wengi hukutana kipindi cha kupandana tu na baadhi ya wanyama, mfano nyoka (mtoe rock python na baadhi kama bush master) au sea turtle wakishataga mayai ndiyo hawarudi tena hilo eneo.

Hence hiki kichanga kitakua bila familia surviving on instincts. In the wild kwa wastani katika vitoto vinne ni kamoja tu katafikia utu uzima hii low survival rate inaenda kwa wanyama wote. Rock python atataga mayai wataanguliwa watoto zaidi ya 20 lakini watakaofikia utu uzima hawatozidi 5.
Wakikua wote unafikiri tungeishi hapa duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu;
1.Kinyonga:
Kinyonga ni mnyama mwenye Upendo wa hali ya juu. Anapofikia hatua ya kuzaa, hupanda juu ya mti mrefu sana na hujiachia/hujidondosha na akifika chini hupasuka/husambaratika ili watoto watoke. Anakufa kwa ajili ya watoto kuishi. Anajifanyia caesarian section Binafsi
2. Mbwa koko:
Mbwa mwenye watoto hubangaiza na akirejea /akirudi pale kwenye kundi la watoto huwatapikia chakula alichookoteza na maisha yanasonga. Usipolielewa hilo utakereka na kuona kinyaa sana kwa Tabia hii.
3.Binadamu:
Binadamu hapendi kuambiwa UKWELI kwamba yeye ni mmojawapo wa WANYAMA tena mnyama hatari zaidi Duniani. Bora Ukutane na kundi la Simba kuliko kukutana na Binadamu mmoja hususan adui yako!
Kama Kingai na Goodluck

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mkuu;
1.Kinyonga:
Kinyonga ni mnyama mwenye Upendo wa hali ya juu. Anapofikia hatua ya kuzaa, hupanda juu ya mti mrefu sana na hujiachia/hujidondosha na akifika chini hupasuka/husambaratika ili watoto watoke. Anakufa kwa ajili ya watoto kuishi. Anajifanyia caesarian section Binafsi
2. Mbwa koko:
Mbwa mwenye watoto hubangaiza na akirejea /akirudi pale kwenye kundi la watoto huwatapikia chakula alichookoteza na maisha yanasonga. Usipolielewa hilo utakereka na kuona kinyaa sana kwa Tabia hii.
3.Binadamu:
Binadamu hapendi kuambiwa UKWELI kwamba yeye ni mmojawapo wa WANYAMA tena mnyama hatari zaidi Duniani. Bora Ukutane na kundi la Simba kuliko kukutana na Binadamu mmoja hususan adui yako!
Hebu leta source ya kusapoti kwamba kinyonga hujipasua kwa kupanda juu ya mti ili azae
 
Back
Top Bottom