πππ nyikani kugumu. Ni mbinu tu ya kuepuka kuliwa na wanyama wengine.Kwahiyo hao watoto wa duma wanaishi kwa gharama za Nyegere au sio, yn kwa kiswahili tunawaita chawa wa Nyegere.
Aisee Mungu fundi.πππ nyikani kugumu. Ni mbinu tu ya kuepuka kuliwa na wanyama wengine.
Ni kama vipepeo wenye mabawa yenye alama kama macho ya ndege mkali kama tai au bundi ili kuogopesha mijusi na vindege vitakaotaka kuwala.
View attachment 2044811
Acha kabisa yaani.Aisee Mungu fundi.
Inasikitisha kuwa wanaelekea kutoweka kwa sababu za shughuli za binadamu. 40 MILLION YEARS wapo [emoji17] na tutawapoteza.[emoji848][emoji25]View attachment 2044835
Picathartes - ndege mzuri sana. Wameishi misituni Congo Basin na West Africa zaidi ya miaka milioni 40. Inasikitisha kuwa wanaelekea kutoweka kwa sababu za shughuli za binadamu. 40 MILLION YEARS wapo [emoji17] na tutawapoteza.
Kwa kulinganisha, binadamu wa sasa tupo duniani kama miaka laki mbili tu. Wao wanatuona kama viumbe wa juzi tu.
Kiongozi mshana nna shida na wewe naona pm yako imefungwaInasikitisha kuwa wanaelekea kutoweka kwa sababu za shughuli za binadamu. 40 MILLION YEARS wapo [emoji17] na tutawapoteza.[emoji848][emoji25]
Hatari sanaTupia chochote kuhusu wanyama
Kibaya
Kizuri
Cha kuelimisha
Cha kuchekesha
Cha kushangaza
Cha kuhuzunisha
Cha kufurahisha
Cha kusikitisha nk nk
View attachment 1709936
ππππ
Nataka kujua nani kawapandisha hao kobe watoto hapo juu??