Mada ya wanyama

Mada ya wanyama

Siku zote najua Komodo wanapatikana Indonesia na maeneo mengine ya Asia pekee, sikujua kama wapo Australia.

Afrika na Asia lazima tuwe na death toll kubwa kutokana na umbali wa vituo vya afya, upatikanaji wa anti venom na gharama yake.

Kuna ndege anaitwa Cassowary, yupo Australia pia, picha yake ukimuona ni kacute kumbe kakiller.
Nimepenpda huu msemo "kacute kumbe ka killer" umenitia hofup sn huu msemo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mmoja ya wanyama wenye akili sana duniani. Kwenye top four kuna sokwe mtu, mbwa, pomboo(dolphin) na huyu jamaa. Pia ni bosi mmoja msafi sana. Kama umewahi mfuga utakuta anajisaidia mbali na anapokula.
Wakati ni haram kumla
 
Kwanini? Umeuhamisha katika maisha ya kila siku?
Nimetokea kukaogopa sn haka ka ndege, kumbe ni kacute lkn ni kakiller.
Screenshot_20211202-075733.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pen tailed tree shrew, kipanya kidogo , nadhani ni jamii ya komba, kinachopiga gambe siku nzima.

pen-tailed-treeshrew-a553f7ad-f668-40f2-99fa-5d383286b31-resize-750.jpeg


Kanaishi kwenye minazi na kakinywa nectar iliyooza (ferment) ya maua ya miti hiyo (bertam palm). Hiyo nectar inaweza fikia alcohol content ya ya 3-4%,

. Nilisikia kuwa komba (bushbaby) nao ni wapenzi wa pombe, kama kuna komba anaishi kwenye mti karibu na nyumba yako, ukiacha glass ya bia nje usiku, asubuhi utakuta komba alishajisevia.
 
Kuna samaki anaitwa electric eel, huku kwetu bongo tunamwita mkunga anapatikana katika mabwawa na mito mingi Africa na America ya kusini. Huyu samaki ana uwezo wa kuzalisha nguvu za umeme mpaka kufika Volts 600 kwaajili ya kuliua windo lake au kuwaweka adui zake mbali na yeye au kushambulia pale anapohisi kuna hatari.
Binafsi nishawavua sana hawa samaki nikiwa teenager katika makuzi ya kuvua vua samaki katika mabwawa lakini sikujua kama ana uwezo wa kukupiga shoti ambayo inaweza kukusababishia shock nakuwa drown hata katika kina kifupi cha maji. Kuna cases chache mpaka sasa za vifo vya binadamu vilivyosababishwa na huyu mjuba.
Huyu ni noma. Niliona video kuna cayman (aina ya mamba wa south america) alijaribu kumfanya mmoja lunch akapigwa shoti hadi kufa.
Nimekuja kujua pia electric eel siyo true eel, bali ni aina ya knifefish ambaye yuko karibu zaidi kijamii na kambale kuliko eel wenyewe.

caimaneel1.jpg
 
Bowerbird, huyu ndege vijana wa JF wanaweza kumuita baharia wa ndege. Wa kiume wanajenga viota na kuvipamba vizuuri ili kuvutia mpenzi. Wa kike wanakagua na kuchagua kiota kipi kimependeza ndo anaingia/kubali kuwa na huyo dume. Wako vizuri sana katika kupangilia rangi na wanatumia kila aina ya vitu kupamba kiota kama vile mawe, maua, vitu vya kibinadam kama vifuniko vya chupa, vipande vya glass...

Kibongobongo huyu ndege ni baharia mwenye ghetto lenye carpet la manyoya na bonge la sofa, huenda na subwoofer pia
f1bd70c27c25040eac7921c0cbcca06c.jpg
94977dcb9cccad22de837996af23279b.jpg

9019bd610cb47b6bbc7e7c1b7c91fcca
 
Nimetokea kukaogopa sn haka ka ndege, kumbe ni kacute lkn ni kakiller.View attachment 2030830

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee ni warefu.

Anaweza fika 6 feet.

Now cassowary wanakula matunda. Na anajua mti wenye matunda ni huu, yeye akishahitimisha ni huu basi ndiyo ushakua wake sasa ajitokeze mtu au mnyama akapita karibu na huo mti.

Moto utakaowaka hapo si mchezo.
 
Bowerbird, huyu ndege vijana wa JF wanaweza kumuita baharia wa ndege. Wa kiume wanajenga viota na kuvipamba vizuuri ili kuvutia mpenzi. Wa kike wanakagua na kuchagua kiota kipi kimependeza ndo anaingia/kubali kuwa na huyo dume. Wako vizuri sana katika kupangilia rangi na wanatumia kila aina ya vitu kupamba kiota kama vile mawe, maua, vitu vya kibinadam kama vifuniko vya chupa, vipande vya glass...

Kibongobongo huyu ndege ni baharia mwenye ghetto lenye carpet la manyoya na bonge la sofa, huenda na subwoofer pia
f1bd70c27c25040eac7921c0cbcca06c.jpg
94977dcb9cccad22de837996af23279b.jpg

9019bd610cb47b6bbc7e7c1b7c91fcca
Kuna samaki wa ziwa Tanganyika naye ana hii tabia. Anakusanya makombe ya konokono na kuyapanga. Jike anaangali mzigo upi ni mwingi. Viumbe vyote wanawake wanamkubali mwenye uwezo.
 
Kuna samaki wa ziwa Tanganyika naye ana hii tabia. Anakusanya makombe ya konokono na kuyapanga. Jike anaangali mzigo upi ni mwingi. Viumbe vyote wanawake wanamkubali mwenye uwezo.
Noma sana. Surely wale samaki wengine wasio na mawe na walikosa majike kwa kuwa na collection ndogo watakuwa wanaishia kulalamika eti 'mademu wanathamini utajiri kuliko utu (usamaki?)
 
Noma sana. Surely wale samaki wengine wasio na mawe na walikosa majike kwa kuwa na collection ndogo watakuwa wanaishia kulalamika eti 'mademu wanathamini utajiri kuliko utu (usamaki?)
Hahaaaaaa
 
Nyoka mwenye sumu kali duniani yupo Australia. Anaitwa Inland Taipan ndugu yake wa karibu ni Coastal Taipan wana death toll kubwa kwakua hakuna antivenom bado.

Hata hivyo ukiwa Australia hao siyo wanyama pekee wa kuwahofia. Utatakiwa uwahofie Stone fish, Box Jellyfish ambao wana sumu kali isiyo na tiba kokote. Kangaroo inabidi uwakimbie achana na muvi adult kangaroo is deadly, na Great White Shark hawa papa hukua mpaka kufikia futi 25.

Hata hivyo chakula cha papa kikuu ni seal, papa hawindi binadamu actively. Ikatokea papa amekutana na binadamu hufanya ile kumzunguka zunguka kujaribu kung'amua hiki ni kiumbe gani. Akiona haelewi anang'ata kisha anagundua huyu siyo seal anaachana na wewe. Ndiyo maana wanaokufa kwa ajili ya papa hua ni majeraha yanayotokana na kung'atwa vital organs.

That aside I wish niseme nothing can stop Great White Shark ila hapana hawa papa huuawa na Orcinus Orca au Killer Whale. Wote tunajua whales hawali papa hivyo kuwaua papa hawa itakua wanachukulia mchezo anyway, these whales have learn't kwamba papa wanahitaji kua in a movement muda wote so wanachaofanya ni kumvizia papa wanamtokea kwa chini kisha wanakua kama wanamnyanyua hivyo kuzuia movement.
Orca (killer whale) naweza kusema ni kama genge la wahuni wa baharini. Pamoja na kuitwa killer whale, wao ni ana ya dolphin, ndiyo dolphin mkubwa katika jamii ya dolphins. Wanasayansi wanaamini hawa majamaa wana akili sana. Wanawinda kwa makundi na pia wanajua kutumia miili yao na movement ya kutengeneza mawimbi yanayoweza kumtungua seal aliye juu ya barafu majini. Pia wanaweza kujisogeza hadi ufukweni kiasi fulani kuwinda seal.

Kuhusu kushambulia shark, inasemekana na wao wamegundua kuwa shark anapata temporary paralysis akiwa upside down hivyo huwavizia kwa chini na kuwabinua ili wawe juu chini. Pia wanasayansi wameona mara nyingi sharks wanaopigwa na orca wanakuwa wametolewa ini, yaani orca anang'ata eneo ambalo huwa ini na organs zingine zipo na kunyofoa ini. Wanahisi ni kwa sababu ni source bora ya protein. Kwa hiyo pamoja na kufanya mauaji kwa sababu zao za kibabe na kihuni tu baharini, wanafanya hivyo kwa chakula pia.


Difference-Between-Orca-and-Dolphin-fig-1.jpg

orca aka killer whale aka panya road wa baharini.
 
Hawa wanaogopwa na kuheshimiwa kama watawala wa nyika.

lion-pride-picture-id513047404


Ila kama wewe ni mnyama wa kuwindwa (mf. punda milia), ukiwaona hawa wazee wanakufuatilia, we pambana na kimbia maana unaweza ukapona maana inasemekana simba wanashindwa kukamata mnyama mara nyingi zaidi kuliko kupata (success rate 25%).

Ila ukiona unawindwa na kundi la hawa jamaa wengine, mbwa mwitu, get your affairs in order na sali toba na sala zako za mwisho maana unaweza kuwa na uhakika wa kifo. Hawa jamaa ndo vinara wa successful hunt nyikani (85%). Wakikuamulia hawa jamaa jua umekwisha.

Getty-wild-dogs-164887546_Minden-Pictures-RM_.jpg
 
Napenda sana wanyama, tabia zao zinaweza kukutafakarisha yana jinsi mungu alivyo mkuu.
 
Hawa wanaogopwa na kuheshimiwa kama watawala wa nyika.

lion-pride-picture-id513047404


Ila kama wewe ni mnyama wa kuwindwa (mf. punda milia), ukiwaona hawa wazee wanakufuatilia, we pambana na kimbia maana unaweza ukapona maana inasemekana simba wanashindwa kukamata mnyama mara nyingi zaidi kuliko kupata (success rate 25%).

Ila ukiona unawindwa na kundi la hawa jamaa wengine, mbwa mwitu, get your affairs in order na sali toba na sala zako za mwisho maana unaweza kuwa na uhakika wa kifo. Hawa jamaa ndo vinara wa successful hunt nyikani (85%). Wakikuamulia hawa jamaa jua umekwisha.

Getty-wild-dogs-164887546_Minden-Pictures-RM_.jpg
hivi tagi la mbwa mwitu linawz kuua binadamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom