MADA YA WEEKEND: Wazee wa Dar na Benz la Mwinyi

MADA YA WEEKEND: Wazee wa Dar na Benz la Mwinyi

Ukiwa maskini ni hasara sana hapa dunian heri uwe mti unaweza toa hata oxygen
Hakika ukiwa maskini nitatizo.
Pole sana mkuu, fanyakazi kwa bidii utatoboatu, naona hapo kwenye avatar nguo imesha makaliosi yote yapo nje, so sad.
 
Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo.

Issa Shivji on tweeter

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnasemaje kwa yule jamaa aliekuwa akigawa fedha kwa wananchi wanyonge..?
Nadhani bora yule jamaa na bilashaka amepata malipo kwa kufikiri kuhusu wanyonge.
 
Nadhani Mama aliongea sababu ya kumpa gari ndogo, Huyu mzee ana miaka 96 na amekuwa anaitwa katika shughuli mbalimbali za kiserikali kama Rais mstaafu, kasema tunamuona shida anayopata wakati wa kupanda gari na kushuka tunampa gari ndogo asipate tabu huyu ni mtu mzima 96 years old na mtu aliyewahi kushika nafasi kubwa katika nchi hii. Jamani hata mzee wetu tunamsakama utasema kapewa Boeng gari zenyewe zilikuwa zawadi tu toka Morocco.
Mapato anayopata kutoka serikalini, mabiashara yake plus kijana wake rais au wale wabunge unadhani wangeshindwa kumpa baba yao zawadi ya siku ya kuzaliwa?.

Although walijua hilo but hata wangeshindwa kulinunua hilo benz labda kwa sababu ya kodi, wangeiomba serikali iwape msamaha wa kodi na likapita bure.

Hapo wangefanya wao pasi sisi kujua bali tungeona kwenye medias...

"FAMILIA YA MZEE RUKSA WAMPA BABA YAO ZAWADI YA BENZ"

Ndani ya story ndo tungekutana na sababu kama; lile GX 8 alikuwa hawezi kushuka, mara sijui ni kubwa sana au linakimbia sana na linakula sana mafuta🙁!.
 
Mapato anayopata kutoka serikalini, mabiashara yake plus kijana wake rais au wale wabunge unadhani wangeshindwa kumpa baba yao zawadi ya siku ya kuzaliwa?.

Although walijua hilo but hata wangeshindwa kulinunua hilo benz landa kwa sababu ya kodi, wangeiomba serikali iwape msamaha wa kodi na likaoita bure.

Hapo wangefanya wao pasi sisi kujua bali tungeona kwenye medias...

"FAMILIA YA MZEE RUKSA WAMPA BABA YAO ZAWADI YA BENZ"

Ndani ya story ndo tungekutana na sababu kama; lile GX 8 alikuwa hawezi kushuka, mara sijui ni kubwa sana au linakimbia sana na linakula sana mafuta🙁!.
Sheria ya Mafao ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1999, ambayo ilirekebishwa mwaka 2005, inaeleza kuwa Rais Mstaafu anapomaliza kipindi chake cha uongozi, hupata mafao ya mkupuo.

Ingawa kiwango cha mshahara wa Rais wa Tanzania ni siri, sheria hiyo inaeleza kuwa mafao yao hukokotolewa kwa kuzingatia mshahara wa juu aliowahi kupata miezi aliyofanya kazi.

Kiwango cha mafao hayo hukokotolewa kwa kutumia kanuni za kiwango cha asilimia itakayopangwa na mamlaka husika.

Mbali ya mafao yake ya kazi, Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi kiasi cha asilimia 80 ya mshahara wa rais aliyeko madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliye madarakani.

ADVERTISEMENT

Licha ya posho hiyo, Rais hupewa ulinzi, msaidizi, katibu muhtasi, mhudumu wa ofisi, mpishi, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili na gharama za mazishi atakapofariki.

Mafao mengine

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais Mstaafu, pia anapewa pasi ya kusafiria ya hadhi ya kidiplomasia, yeye pamoja na mke au mume wake.

Rais pamoja na mke wake, pia hulipwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi.

Baada ya kustaafu rais pia hulipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na Serikali, ambayo pia hubadilishwa kila baada ya miaka mitano.

Kama hiyo haitoshi, Rais pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni lazima iwe na vyumba angalau vinne, viwili kati ya hivyo ni lazima viwe na huduma zote ndani (self-contained).

Aidha, nyumba hiyo ni lazima iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake.

Rais huyo mstaafu vilevile atagharimiwa gharama za mazishi pindi atakapofariki



Makamu wa rais na mawaziri

Mafao hayo ya viongozi wa umma yanampa nafasi Waziri Mkuu mstaafu na makamu wa rais fursa kama anazopata Rais, isipokuwa wao hawajengewi nyumba, pia wanapata gari moja tu.

Makamu wa rais na waziri mkuu wastaafu wanapewa fedha za kulipa mishahara ya watumishi, mpishi, dobi, mfanyakazi wa ndani, mtunza bustani na dereva.

Sheria hiyo inawakinga pia wategemezi wa viongozi wastaafu, hasa viongozi hao wanapofariki.

Kinga ya wategemezi wa viongozi hao iliundwa katika marekebisho ya Sheria ya Mafao ya Viongozi wa Siasa ya Mwaka 1999, ambayo ilitiwa saini na Rais mstaafu Benjamin Mkapa Juni 2005. Marekebisho yaliyotiwa saini na Rais Mkapa ni pamoja na kuwalipa mafao wajane na wagane wa viongozi wa juu wa kitaifa akiwamo rais, makamu wa rais na waziri mkuu.

Rais mstaafu akifariki dunia, mke au mume wake hupewa nyumba, posho kiasi cha asilimia 40 ya mshahara wa rais aliye madarakani.

Aidha, mjane au mgane huyo hutengewa fedha za matibabu ndani ya nchi na matengenezo ya gari analopewa na Serikali.

Pia hulipiwa mshahara wa kima cha chini kwa dereva na mtumishi wa ndani pamoja na hupewa usafiri wa kwenda mahali atakapoishi maisha yake yaliyosalia.

Mabadiliko hayo yalilenga pia kuhakikisha kuwa iwapo kiongozi husika alikuwa analipwa pensheni kwa ajira ya awali, malipo yake yataendelea kutumiwa na mjane.

Aidha katika kikao cha Bunge la Bajeti mwaka uliopita, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani alisema kuwa Serikali imetenga Sh9 bilioni kwa ajili ya matibabu ya wastaafu wanaopaswa kutunzwa na Serikali.
 
Hakugawia wenye nazo tena ukijumlisha alizogawa zote tangu awe rais hata robo ya hii bado maana alikuwa anagawa 5,7 au 10 million tena kwa kuchangisha na wengine wakenya wakiita harambee
magu si alimpa nyumba pia yenye gharama ya mamilioni mengi tu.
 
Umri wenyewe ushaenda, Benz la nini , huyu mama anajifanya mother Theresa , kitamkuta kitu


Enz za magu Tz ilikua inaheshimika sana duniani, sasa hiv tumerud kuwa mazuzu, hapa raisi hatuna, miaka yake iishe tupige kura
Mikumi tena .
 
Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo.

Issa Shivji on tweeter

Sent using Jamii Forums mobile app
Usishtuke mama kasema yeye na magu nikitu kimoja.
Kunasiku kama sikuona vibaya hayati alikuwa anakagua jengo moja hivi akasema nila rais mstaafu sasasijui likikuwa la kikwete ama aliwajengea marais wastafu wote amavipi, nayo nizawadipia.

Mtualikuwa rais anamiliki kilakitu leo unamjengea eti nyuma ama unampa gari daah, alafu zotehizo ni kodi za wanyonge.
 
Inasikitisha Sana, halafu kuna mijitu inakuja na nyimbo na vigelegele vya kusifu upuuzi. Tulikuwa tunaanza kupiga hatua sasa hivi twarejea tulipotoka, business as usual.
Na nyumba walizopewa ndio ilikuwa njia kupiga hatua
 
Nadhani Mama aliongea sababu ya kumpa gari ndogo, Huyu mzee ana miaka 96 na amekuwa anaitwa katika shughuli mbalimbali za kiserikali kama Rais mstaafu, kasema tunamuona shida anayopata wakati wa kupanda gari na kushuka tunampa gari ndogo asipate tabu huyu ni mtu mzima 96 years old na mtu aliyewahi kushika nafasi kubwa katika nchi hii. Jamani hata mzee wetu tunamsakama utasema kapewa Boeng gari zenyewe zilikuwa zawadi tu toka Morocco.
wazee wako wengi na maskini wa kutupwa shida lukuki wanazo ukilinganisha na hiyo shida ya kushuka kwenye V8.
 
wazee wako wengi na maskini wa kutupwa shida lukuki wanazo ukilinganisha na hiyo shida ya kushuka kwenye V8.
soma hii tena:
Sheria ya Mafao ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1999, ambayo ilirekebishwa mwaka 2005, inaeleza kuwa Rais Mstaafu anapomaliza kipindi chake cha uongozi, hupata mafao ya mkupuo.

Ingawa kiwango cha mshahara wa Rais wa Tanzania ni siri, sheria hiyo inaeleza kuwa mafao yao hukokotolewa kwa kuzingatia mshahara wa juu aliowahi kupata miezi aliyofanya kazi.

Kiwango cha mafao hayo hukokotolewa kwa kutumia kanuni za kiwango cha asilimia itakayopangwa na mamlaka husika.

Mbali ya mafao yake ya kazi, Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi kiasi cha asilimia 80 ya mshahara wa rais aliyeko madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliye madarakani.

ADVERTISEMENT

Licha ya posho hiyo, Rais hupewa ulinzi, msaidizi, katibu muhtasi, mhudumu wa ofisi, mpishi, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili na gharama za mazishi atakapofariki.

Mafao mengine

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais Mstaafu, pia anapewa pasi ya kusafiria ya hadhi ya kidiplomasia, yeye pamoja na mke au mume wake.

Rais pamoja na mke wake, pia hulipwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi.

Baada ya kustaafu rais pia hulipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na Serikali, ambayo pia hubadilishwa kila baada ya miaka mitano.

Kama hiyo haitoshi, Rais pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni lazima iwe na vyumba angalau vinne, viwili kati ya hivyo ni lazima viwe na huduma zote ndani (self-contained).

Aidha, nyumba hiyo ni lazima iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake.

Rais huyo mstaafu vilevile atagharimiwa gharama za mazishi pindi atakapofariki



Makamu wa rais na mawaziri

Mafao hayo ya viongozi wa umma yanampa nafasi Waziri Mkuu mstaafu na makamu wa rais fursa kama anazopata Rais, isipokuwa wao hawajengewi nyumba, pia wanapata gari moja tu.

Makamu wa rais na waziri mkuu wastaafu wanapewa fedha za kulipa mishahara ya watumishi, mpishi, dobi, mfanyakazi wa ndani, mtunza bustani na dereva.

Sheria hiyo inawakinga pia wategemezi wa viongozi wastaafu, hasa viongozi hao wanapofariki.

Kinga ya wategemezi wa viongozi hao iliundwa katika marekebisho ya Sheria ya Mafao ya Viongozi wa Siasa ya Mwaka 1999, ambayo ilitiwa saini na Rais mstaafu Benjamin Mkapa Juni 2005. Marekebisho yaliyotiwa saini na Rais Mkapa ni pamoja na kuwalipa mafao wajane na wagane wa viongozi wa juu wa kitaifa akiwamo rais, makamu wa rais na waziri mkuu.

Rais mstaafu akifariki dunia, mke au mume wake hupewa nyumba, posho kiasi cha asilimia 40 ya mshahara wa rais aliye madarakani.

Aidha, mjane au mgane huyo hutengewa fedha za matibabu ndani ya nchi na matengenezo ya gari analopewa na Serikali.

Pia hulipiwa mshahara wa kima cha chini kwa dereva na mtumishi wa ndani pamoja na hupewa usafiri wa kwenda mahali atakapoishi maisha yake yaliyosalia.

Mabadiliko hayo yalilenga pia kuhakikisha kuwa iwapo kiongozi husika alikuwa analipwa pensheni kwa ajira ya awali, malipo yake yataendelea kutumiwa na mjane.

Aidha katika kikao cha Bunge la Bajeti mwaka uliopita, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani alisema kuwa Serikali imetenga Sh9 bilioni kwa ajili ya matibabu ya wastaafu wanaopaswa kutunzwa na Serikali.
 
wazee wako wengi na maskini wa kutupwa shida lukuki wanazo ukilinganisha na hiyo shida ya kushuka kwenye V8.
Hoja ya wazee wengi haina mashiko hapa watoto zao ni wajibu wao kuwatunza wazee wao hata wewe unaweza kumpa mzee wako benzi haina maana sababu kuna wazee wengi wanashida basi usimpe mzee wako. Huyu ni alikuwa kiongozi wa Taifa na kuna haki zake ukichukia benzi basi kila miaka 5 anabadilishiwa gari kisheria sio msaada.
 
wazee wako wengi na maskini wa kutupwa shida lukuki wanazo ukilinganisha na hiyo shida ya kushuka kwenye V8.
Kumbuka ananyumba yake miaka mingi tu lakini JPM bado akampa nyumba kwa mujibu wa sheria zetu mbona hamkusema wakati wa JPM anampa nyumba. kwani hakuna wazee hata nyumba hawana? JPM kampa kwa mujibu wa sheria zetu watu wote wakati wa JPM waliufyata kimyaa ila kumuona Mama anaongea kistarabu basi imekuwa nongwa.
 
Angekua Magu ametoa hilo gari kelele zingekua mpk chato lkn ametoa mpendwa tumuitae 'Mama' mpk wafuasi wa upinzani wako wanasifia hii zawadi wakisema ni zawadi murua kabisa.

Mkiambiwa CCM ni ileeeeee ooh ni ileeeeee hua mnabisha.
 
Kumbuka ananyumba yake miaka mingi tu lakini JPM bado akampa nyumba kwa mujibu wa sheria zetu mbona hamkusema wakati wa JPM anampa nyumba. kwani hakuna wazee hata nyumba hawana? JPM kampa kwa mujibu wa sheria zetu watu wote wakati wa JPM waliufyata kimyaa ila kumuona Mama anaongea kistarabu basi imekuwa nongwa.
Wote wamefanya makosa tu,aliyetoa Nyumba na aliyetoa Gari.

Nilipinga kipindi Magu ametoa nyumba kwa huyo mzee na ninapinga sasa suala la kuzawadiwa gari.

Hakuna mwenye afadhali hapo.
 
Hoja ya wazee wengi haina mashiko hapa watoto zao ni wajibu wao kuwatunza wazee wao hata wewe unaweza kumpa mzee wako benzi haina maana sababu kuna wazee wengi wanashida basi usimpe mzee wako. Huyu ni alikuwa kiongozi wa Taifa na kuna haki zake ukichukia benzi basi kila miaka 5 anabadilishiwa gari kisheria sio msaada.
basi kuna walakini kwa waliokua wanatunga hizo sheria .walikuwa walafi kupindukia zote hizo ni kodi za wanainch
 
Wote wamefanya makosa tu,aliyetoa Nyumba na aliyetoa Gari.

Nilipinga kipindi Magu ametoa nyumba kwa huyo mzee na ninapinga sasa suala la kuzawadiwa gari.

Hakuna mwenye afadhali hapo.
Jamani nimepost hapa JPM hajatoa tu ni kwa mujibu wa sheria zetu hata gari ni sheria tena sio moja mbili nitapost tena someni jamani, kama sheria mbaya hilo suala jingine.

Sheria ya Mafao ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1999, ambayo ilirekebishwa mwaka 2005, inaeleza kuwa Rais Mstaafu anapomaliza kipindi chake cha uongozi, hupata mafao ya mkupuo.

Ingawa kiwango cha mshahara wa Rais wa Tanzania ni siri, sheria hiyo inaeleza kuwa mafao yao hukokotolewa kwa kuzingatia mshahara wa juu aliowahi kupata miezi aliyofanya kazi.

Kiwango cha mafao hayo hukokotolewa kwa kutumia kanuni za kiwango cha asilimia itakayopangwa na mamlaka husika.

Mbali ya mafao yake ya kazi, Rais Mstaafu hulipwa posho ya kila mwezi kiasi cha asilimia 80 ya mshahara wa rais aliyeko madarakani. Kiasi hicho ni sawa na Sh80 kwa kila Sh100 anayopata Rais aliye madarakani.

ADVERTISEMENT

Licha ya posho hiyo, Rais hupewa ulinzi, msaidizi, katibu muhtasi, mhudumu wa ofisi, mpishi, dobi, mtumishi wa ndani, mtunza bustani, madereva wawili na gharama za mazishi atakapofariki.

Mafao mengine

Pamoja na malipo ya mkupuo anayopata Rais Mstaafu, pia anapewa pasi ya kusafiria ya hadhi ya kidiplomasia, yeye pamoja na mke au mume wake.

Rais pamoja na mke wake, pia hulipwa gharama za matibabu ndani au nje ya nchi.

Baada ya kustaafu rais pia hulipiwa matengenezo ya magari mawili yenye uzito usiopungua tani tatu, ambayo hutolewa na Serikali, ambayo pia hubadilishwa kila baada ya miaka mitano.

Kama hiyo haitoshi, Rais pia hujengewa nyumba mpya, ambayo ni lazima iwe na vyumba angalau vinne, viwili kati ya hivyo ni lazima viwe na huduma zote ndani (self-contained).

Aidha, nyumba hiyo ni lazima iwe na ofisi iliyokamilika na nyumba kwa ajili ya mfanyakazi wake.

Rais huyo mstaafu vilevile atagharimiwa gharama za mazishi pindi atakapofariki



Makamu wa rais na mawaziri

Mafao hayo ya viongozi wa umma yanampa nafasi Waziri Mkuu mstaafu na makamu wa rais fursa kama anazopata Rais, isipokuwa wao hawajengewi nyumba, pia wanapata gari moja tu.

Makamu wa rais na waziri mkuu wastaafu wanapewa fedha za kulipa mishahara ya watumishi, mpishi, dobi, mfanyakazi wa ndani, mtunza bustani na dereva.

Sheria hiyo inawakinga pia wategemezi wa viongozi wastaafu, hasa viongozi hao wanapofariki.

Kinga ya wategemezi wa viongozi hao iliundwa katika marekebisho ya Sheria ya Mafao ya Viongozi wa Siasa ya Mwaka 1999, ambayo ilitiwa saini na Rais mstaafu Benjamin Mkapa Juni 2005. Marekebisho yaliyotiwa saini na Rais Mkapa ni pamoja na kuwalipa mafao wajane na wagane wa viongozi wa juu wa kitaifa akiwamo rais, makamu wa rais na waziri mkuu.

Rais mstaafu akifariki dunia, mke au mume wake hupewa nyumba, posho kiasi cha asilimia 40 ya mshahara wa rais aliye madarakani.

Aidha, mjane au mgane huyo hutengewa fedha za matibabu ndani ya nchi na matengenezo ya gari analopewa na Serikali.

Pia hulipiwa mshahara wa kima cha chini kwa dereva na mtumishi wa ndani pamoja na hupewa usafiri wa kwenda mahali atakapoishi maisha yake yaliyosalia.

Mabadiliko hayo yalilenga pia kuhakikisha kuwa iwapo kiongozi husika alikuwa analipwa pensheni kwa ajira ya awali, malipo yake yataendelea kutumiwa na mjane.

Aidha katika kikao cha Bunge la Bajeti mwaka uliopita, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani alisema kuwa Serikali imetenga Sh9 bilioni kwa ajili ya matibabu ya wastaafu wanaopaswa kutunzwa na Serikali.
 
Back
Top Bottom