King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hell Yeah.Picha ya kinyama...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hell Yeah.Picha ya kinyama...?
DuhHell Yeah.
Kazi maalum[emoji15] sasa kinaachwa cha nn
Kuna mama wa rafiki yangu aliambiwa na mama yake kinaga ubaga kwamba kabla hajaoa....."Siku ukipata mchumba Uje nikukague, wewe bado hujui mambo mengi, msije kuwa mnazaa watoto mnazika kila mara" ...maneno hayo aliyaongea kwa msisitizo baada ya huyo jamaa kuonekana kupuuza Imani ile, lakini pia kukaguliwa na mama mtu mzima! Hii inaonyesha Imani hiyo ipo na maeneo mengine imekwenda mpaka kwa wanaume, sio wanawake pekee.Sina hakika sana
Kama hivyo na eneo ni hilo, lakini kenyewe kanakuwa ni kadogo size ya kidole kidogo cha mtoto mchanga na siyo mkia mzima namna hiyo.ni kama hivi?![]()
Mh okSio hii Mkuu...
Hiyo anayo isemea mleta uzi, binafsi nilisha wahi kutatanayo, ingawa niliipuuza kwakua sikua na uhitaji wa kujua
Mkuu nilivyo ielewa mada ya Mshana ni kwamba anaekuwa na kinyama hicho anaandamwa na mikosi, lakini pia hata partiner wake anajikuta ktk mikosi hiyo hiyo. Imani inakwenda mbali zaidi kwa wengine kwamba hata wakifanikiwa kupata watoto wanakufa vifo visivyoeleweka. Lakini mwenye hicho kinyama yeye anakuwa hajui kama sababu ya mikosi na balaa ni hicho kinyama.Imenibidi nimkumbuke binti mmoja alitokewa akiwa kdt cha 2(akafanyiwa operation) ila sasa ameolewa na ana watoto watatu.
Kuna vijana wawili pia ziliwatokea kwa nyakati tofauti mmoja tayari ana mtoto, mwingine bado mdogo ndio yuko kdt cha 6.
Kwa imani yako mshana ni kuwa hao watoto wao watakufa?
Lol,Naomba kukiona kama kipo
NaombaaaLol,
Juzi kati hapa kuna mwanaume alienda katwa hicho kinyama na alikuwa na mkeweHicho kinyama/kimkia huwatokea wanawake tu?
Mshana anasema sio bawasiri, ni kimkia, sasa kama kinawatokea wanawake nina hakika na wanaume kinawatokea. Ila humu hawatosema kama wanavyo, wanasema tu wanawake.Juzi kati hapa kuna mwanaume alienda katwa hicho kinyama na alikuwa na mkewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana anasema sio bawasiri, ni kimkia, sasa kama kinawatokea wanawake nina hakika na wanaume kinawatokea. Ila humu hawatosema kama wanavyo, wanasema tu wanawake.
Si kweli eti ukiwa na hicho kinyama watoto wanakufa mara sijui mahusiano hayadumu,,mtu anaweza kuwa hana hicho kinyama na mahusiano yasidumu vile vileTushike lipi sasa
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app