Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Sina hakika sana
Kuna mama wa rafiki yangu aliambiwa na mama yake kinaga ubaga kwamba kabla hajaoa....."Siku ukipata mchumba Uje nikukague, wewe bado hujui mambo mengi, msije kuwa mnazaa watoto mnazika kila mara" ...maneno hayo aliyaongea kwa msisitizo baada ya huyo jamaa kuonekana kupuuza Imani ile, lakini pia kukaguliwa na mama mtu mzima! Hii inaonyesha Imani hiyo ipo na maeneo mengine imekwenda mpaka kwa wanaume, sio wanawake pekee.
 
ni kama hivi?
tails_08.jpg
Kama hivyo na eneo ni hilo, lakini kenyewe kanakuwa ni kadogo size ya kidole kidogo cha mtoto mchanga na siyo mkia mzima namna hiyo.

Sent from my itel it1501 using JamiiForums mobile app
 
Imenibidi nimkumbuke binti mmoja alitokewa akiwa kdt cha 2(akafanyiwa operation) ila sasa ameolewa na ana watoto watatu.
Kuna vijana wawili pia ziliwatokea kwa nyakati tofauti mmoja tayari ana mtoto, mwingine bado mdogo ndio yuko kdt cha 6.

Kwa imani yako mshana ni kuwa hao watoto wao watakufa?
Mkuu nilivyo ielewa mada ya Mshana ni kwamba anaekuwa na kinyama hicho anaandamwa na mikosi, lakini pia hata partiner wake anajikuta ktk mikosi hiyo hiyo. Imani inakwenda mbali zaidi kwa wengine kwamba hata wakifanikiwa kupata watoto wanakufa vifo visivyoeleweka. Lakini mwenye hicho kinyama yeye anakuwa hajui kama sababu ya mikosi na balaa ni hicho kinyama.
 
Mimi niliwahi kukiona

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Mshana anasema sio bawasiri, ni kimkia, sasa kama kinawatokea wanawake nina hakika na wanaume kinawatokea. Ila humu hawatosema kama wanavyo, wanasema tu wanawake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom