Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mshana anasema sio bawasiri, ni kimkia, sasa kama kinawatokea wanawake nina hakika na wanaume kinawatokea. Ila humu hawatosema kama wanavyo, wanasema tu wanawake.
Hicho kinyama iinakuwa wapi?
 
Kila mtu ana aibu yake, zpo znazoenekana kwa waz na zpo zilizojificha kama hizo, yote yanaingia kaika usem unaosema "binadam hatujakamilika" muhim ni kushauriana vizur na kustiriana ktk aibu zetu, ikiwa we unajiona hauna kasoro bas yupo ktk nduguzo au wanao wenye aibu zao, ametukuka mungu pekee mbora wa uumbaji
 
Wanyakyusa wanakiita KILA mwanamke akiwa nacho mtoto huugua mara kwa mara homa kali n uwezekano wa kupoteza maisha y mtoto n mkubwa zaidi hata mumewe anaweza kufa but kuna wabibi w kinyakyusa huwa wanavikata n hiyo n vice versa hata akiwa nacho mwanaume hali n ileile

NB:hakiwi kirefu ila kinakua kinachungulia kidogo kwenye njia y haja kubwa....



NAWASILISHA....

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Naomba uniunganishe nae nimfanyie utafiti mkuu...
 

Mwenyewe nilikuwa nae nimempiga chini
 
Si kweli eti ukiwa na hicho kinyama watoto wanakufa mara sijui mahusiano hayadumu,,mtu anaweza kuwa hana hicho kinyama na mahusiano yasidumu vile vile
Naamini katika mila zetu na hata dada yangu yalimtokea n kikakatwa.....

Ko am sure on what l speak......

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Ushirikina tu. Na unayanyapaa. Hamna lolote zaidi.
 
Kuna ka ukweli kuhusiana na habari hii nilikuwa na mmoja wa hivo tumeachana
 
Hilo ni tatizo, kwahiyo sidhani kama kuna mtu anapenda apatwe na tatizo!! Lakini nimeona ameongelea upande wa wanawake tu nikataka kujua je ikitokea kwa wanaume kinakuwa hakina hiyo mikosi?
Mwanaume hawezi kuwa na mkia wa nyuma, sisi tumezaliwa na mikia yetu ya asili iliyopo mbele na kwa jina huitwa mijegejo....unaijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…