Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Kuna ka ukweli kuhusiana na habari hii nilikuwa na mmoja wa hivo tumeachana
Kuna watu wamebisha mpaka mishipa imewasimama...sijawahi kuweka mada hapa ikakosa ushuhuda wa kweli

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wamebisha mpaka mishipa imewasimama...sijawahi kuweka mada hapa ikakosa ushuhuda wa kweli.Yeah tulipendana mno ila nikamtosa dakika za majeruhi,aliumia sana

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Kila binadamu ana hako "kamkia".. Hata wewe hapo ukijishika utakiona kipo kipo mwanzo wa mstari wa makalio... Ila kuna baadhi ya watu vyao vinakua vimetoka nje kidogo...
From history.. Binadamu tulikua na mikia lakn kutokana na mikia hiyo kukosa kazi ikawa imepotea... Maana ilikua haina kazi..

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Hapana hii kwa sehemu kubwa inawahusu wanawake

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
duuh! me kimeota mwaka huu..

sent from my bollybolly iphone 10 Zx Phantom...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
duuh! me kimeota mwaka huu..

sent from my bollybolly iphone 10 Zx Phantom...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo ni ugonjwa wahi tiba

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sijawahi kukutana hii scenario. Umenifumbua macho.Hata nilikuwa silijui hili.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kukiona. Mwenye picha tafadhali

Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app
 
Leo kwa Mara nyingine nimekutana na hiyo kitu..alakini mimi sina nia ya kuuweka napita tu ..hilo suala kua hawana bahati ya kudumu sijui kwakweli ila huyu nae kaolewa na kuachika Mara mbili.sasa hapo ndipo hii thread inakua between to line,truth or false

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kitaalamu kinaitwa basiri,... Ni kinyama kinachotokea kwa wanaume na wanawake wenye gene ya aina flan ila kinatibika,..Mara nyingi kina endan na sehemu zenye fistula,... Ccbrt wanatibu u ugonjwa was basiri na fistula pia,.. Mama usifate njia potofu nenda hospital watakusaidia usihofu,..
 
Tang u nizaliwe nikakua nikawa na akili Leo ndo nasikia hiki kitu,sijawh kukisikia hata kidogo its a breaking news to me
 
eeeh basi mikia inakupenda
[emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji102] [emoji102] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Nimepata shuhuda mbili, na wanaume wanako.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]was it live event!?

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…