Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Sasa kuna hili la kinyama njia ya haja kubwa! Kinakuwa kama kimkia kidogo sana! Wanawake wenye hiki kinyama hawana bahati ya kudumu kwenye mahusiano. Ni watu wa kuumizwa na kutendwa kila mara! Furaha yao huwa ni ya muda mfupi tu na pale wanapojaribu kutafuta ufumbuzi kwa waganga hujikuta wameharibu kabisa kwa kubambwa na madawa hirizi nk na kuishia kuachwa kwa aibu.

Ni jambo la kushangaza kuwa kuna uhusiano gani kati ya kinyama husika na maisha ya mtu! Lakini hiyo ndio hali halisi.

Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima.

NB: Hiki si ugonjwa wala uvimbe kipo tu tangu kuzaliwa

Kipindi nakuwa kulikuwa na binti wa jirani ambaye nilisikia ana tatizo hili, yeye aliolewa kabisa baada ya muda mume akafariki, later akaishi na mume mwingine nae akafariki, tetesi zikazagaa kwamba ana hicho kinyama. Baadae nasikia alikatwa na akaendelea maisha kama kawaida.

Yule mwanaume mwingine nae alikuwaga na hicho kinyama akawa wapenzi wanamuacha bila kuwa na kosa lolote, yeye hakujua shida ni nini lakini katika maisha yake akawa na wasiwasi na kinyama kinaweza kumletea Saratani(Hakuwa na kumbukumbu za kuachwa kwake na kinyama). Hospitali walimthibitishia kwamba hakina uhusiano na Saratani, wakakikata. Miezi minne baada ya kukatwa akapata mchumba akaoa.
 
Haya yapo, lakini kama ni mkosi, tiba yake ni wapi sasa!

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Bila kupitisha mkono sidhani...[emoji2]
Ohk shukrani kwa darasa ila utagunduaje hilo
Au apanue uchungulie, kama wee ni fisi utachungulia kila mmoja mpaka wakahadithiane.[emoji12]
 
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Sio bawasiri wala hameroids wala genital warts ni ni kinyama cha kutosha tu kinachomoza kutoka ndani ya njia ya haja kubwa
Niseme tu aliachika huko kwa talaka na mimi pia tuliachana

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Sio ndio kinachoitwa bawasili na kama ndio hicho basi atawanaume wanacho

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
ndicho kinaitwa bawasili wanadai kina uhusiano mkubwa na mambo ya uzazi kam mwanamkw anacho si rahisi kushika ujauzito au ujauzito kutoka

lakini pia mwanamke akiolewa na mtu mwenye bawaili basi kika mkewe anapopata ujauzito hana budi kukata kabla ya kujifungua kwani anaweza kujifungua na mtoto akadumaa au akafa

sijajua hadi leo kwa nini hiki kitu kinahusisha sana na mambo ya uzazi wengune hukata hospitalini japo wanashauri ukate kwa mganga wa jadi na mwingine kila anaposhika ujauzito na akawa na tatizo hili basi han budi kukat kila ujauzito

wanapokata huwa wanaangalia wengine hudai kuna vilivyokomaa kwa maan kwamba huwa viwili au vitatu au kimoja tu

NB:si kila anayekuwa na hivi vinyam ni kwamba anaruka ukuta yaani ule mchezo wengine hudai ni kutokan na mfumo wa vyakula tunavyokula huwa sababu. pia haviwapati wanawake tu hat wanaume japo wahanga wengi ni wanawake

AHSANTENI
 
Hapa mistake itakuwa kusema nishaviona sana ila ni kweli tupu andiko la ndugu yangu mshana .Upo ushahidi tushauona

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app

Sio bawasiri wala hameroids wala genital warts ni ni kinyama cha kutosha tu kinachomoza kutoka ndani ya njia ya haja kubwa
Niseme tu aliachika huko kwa talaka na mimi pia tuliachana

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Dah kuna watu wamebisha humu mpaka basi...nimebaki nashangaa tu kwakuwa kama mtu hakijui kitu haimaanishi kama hakipo

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Hicho kinyama kipo kwa jinsia zote wanaweza kupata.Hakina uhusiano wowote na mikosi wala balaa ni tatizo la kawaida
 
Hivi pia mpaka wanaume hupata kwa sababu mbali mbali mfano kufanya kaz ngumu mda mrefu bila kula pia kula vyakula vigumu kama mikate mara kwa mara ila ni ugonjwa wa kawaida sana na inatibika kwa operation au kwa dawa za kienyeji unameza tuu thn baada ya mda kinapotea
 
Dah kuna watu wamebisha humu mpaka basi...nimebaki nashangaa tu kwakuwa kama mtu hakijui kitu haimaanishi kama hakipo

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Hv vitu vipo sana kuna vile huitwa vikanga hospital hawavijui huwa vinakatwa uswaz km kimeo
 
Back
Top Bottom