Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Hiyo ni Bawasiri na huwatokea both male and female... ajabu umezungumzia upande wa female ajabu nyingine umeiweka kwenye suala la mikosi wakati hilo tatizo si hospital wala kwa wazee linatibika kwa kukikata.

NB: Majani ya Mgagani husaidia sana kutibu Bawasiri japo wanasema inauma sana ila mwenye tatizo akaze moyo ndio tiba.
 
@culture gal bawasiri ni tofauti kabisa na hicho kinyama... Chenyewe huwa kimoja tu.. Bawasiri hutoka zaidi ya kimoja
 
Au ndo hao wanakuwa sio watu wa kawaida ni Succubus labda? Si hao ndo wanazaliwa na mikia?
 
@culture gal bawasiri ni tofauti kabisa na hicho kinyama... Chenyewe huwa kimoja tu.. Bawasiri hutoka zaidi ya kimoja
Sawa kaka mkubwa... ngoja nifanye utafiti zaidi.

Ulishasikia tatizo la 'Vikanga' iliaminiwa huwatokea wanawake tu navyo walisema wanakua na mikosi na hata watoto hufa, kumbe maskini inatokea kwa both, inatibika na upo tofauti na walivyoukuza.
 
Sawa kaka mkubwa... ngoja nifanye utafiti zaidi.

Ulishasikia tatizo la 'Vikanga' iliaminiwa huwatokea wanawake tu navyo walisema wanakua na mikosi na hata watoto hufa, kumbe maskini inatokea kwa both, inatibika na upo tofauti na walivyoukuza.
Poa poa
 
Bawasiri haina uchuro na mikosi unayosema mdau.

Nyie ndio mlikuwa mnakata viungo albino au mnakata kichwa wenye vipara kule Kigoma mkavulie dagaa kwa wingi.
 
Hii si bawasiri?
Bawasiri haihusiani chochote na utabibu huu wa kutishia watu wa Mshana Jr .
Bawasiri haina uchuro na mikosi unayosema mdau.

Nyie ndio mlikuwa mnakata viungo albino au mnakata kichwa wenye vipara kule Kigoma mkavulie dagaa kwa wingi.
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Wanawake wana maumbile ya ajabu sana; ukiwachunguza utachoka au utawaogopa. Wapo wenye kinyama mbele kilefu tu kama dudu la mtoto na akipandisha wazimu na hicho kinasimama.
 
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Wahenga wanakumbuka enzi hizo Kigoma na maeo ya Mpanda kulikuwa sehemu hatari kwa watu wenye vipara.

Walikuwa wanauwawa na kukatwa vichwa kwa sababu ya imani potofu za kishirikina wanasema hivyo vichwa vipara ni dawa ya kuvua dagaa kwa wingi ziwa Tanganyika.
 
Lakini hata sasa watu wanauwawa hata kwa tofauti za kimtazamo na kiitikadi tuu... Kila mahali kila wakati watu wanauwawa na hii sip Tanzania tu bali ni janga la dunia nzima...
Kashogi yuko wapi leo hii... Mwili wale uliondoka kwenye mabegi akiwa kakatwa vipandevipande....
 
nimeshawahi kutana na wenye vimkia ..hasa wakati wa kupima ndogo topeni.....lakini wengi wao wanafurahia ukiwa unakichezea taratibu.....
 
leo napita tuuu mkuu
 
nimeshawahi kutana na wenye vimkia ..hasa wakati wa kupima ndogo topeni.....lakini wengi wao wanafurahia ukiwa unakichezea taratibu.....
Mmh[emoji87][emoji87][emoji87][emoji144]
 
Hemorrhoids
Yeah kwa kiswahili ni Bawasili
Moja ya visababishi;

1,Uzito kupita kiasi
2,Kujikamua sana wakati ya haja na hii huwapata wenye constipation/kukaukiwa choo
3,Kufanya mapenz kinyume na maumbile
Na sababu nyingine bado hazijulikani
NB
Hili ni tatizo la kiafya na wala sio maumbile na wala halipaswi kulinganishwa na imani potofu.
 
Mmmh dunia ina mambo, mbn nasikia hata wanaume wakimasai kwenye chululu zao pale walipo tairiwa pana kinyamaaa
Hilo ni lile govi lao baada ya kukatwa upande wa juu tu kwa chini halikatwi so huviringishwa na kuning'inia kwa chini ya ubo.o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…