Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Inatisha aisee.
 
Umekionaje, mimi najua wewe siyo daktari
 
Wanawake wana maumbile ya ajabu sana; ukiwachunguza utachoka au utawaogopa. Wapo wenye kinyama mbele kilefu tu kama dudu la mtoto na akipandisha wazimu na hicho kinasimama.
Hao ni Wakerewe na wakara...
Wanaviita "Msino"...
Akiamua kwamba Leo huingizi Ndonga yako kweli haingii....
Chezea dole gumba la kati ww
 
Hao ni Wakerewe na wakara...
Wanaviita "Msino"...
Akiamua kwamba Leo huingizi Ndonga yako kweli haingii....
Chezea dole gumba la kati ww
Haya mkuu; inaonekana wewe ni mtaalamu wa maumbile ya hao wamama.
 
Mwanamke akiota hicho kinyama yafuatayo lazima yamkute.
1.ikiwa ana mme ugomvi huingia na wanaweza hata kuachana wanawake wengi wamepatwa na mikosi ya kutodumu na wapenzi kwa ajili ya hili.
2.huathiri sana watoto na ikiwa mama anacho mtoto akiugua sa1 asbh huenda asifike jioni akawa amekufa. Wanawake wengi wamefiwa watoto ghafla sababu ya linyama kama hili.

3.wanaume pia huota na kuzalisha matatizo kadhaa kwa watoto. Pia mwanaume ukiwa nalo utapata homa kali na haitibiki mpaka ulikate hilo.

Kuhusu uhusiano wa kuleta mikosi ni kugongana na maeneo linakoota. Ni maeneo yasiyohitaji uwepo wa kizuizi chochote hivyo kiotapo kule huwa kipo kama ishara ya kuzuia kitu chochote kusiingie kule ili kiwepo tu. Ulimwengu wa jadi una mambo mengi ambayo ukitaka kuyathibitisha ni kazi na hatari pia.

Unapotaka kuingia kwa mtu then akafunga mlango ni ishara ya kukufukuza. Kile kinafunga njia hata ikiwa si yote ila ile ishara tu ina nguvu ktk tamaduni that's why tunakata.
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
mkuu huo mgagani unatibu huo ugonjwa wa bawasiri embu nieleweshe hapo naomba msaada wako ?
 
Ni hali ya kawaida na inaweza kutokea kwa sababu mbalimbali mh. shana.
Hizi skin anal tag husababishwa sometimes na
  • straining from constipation
  • diarrhea
  • heavy lifting
  • strenuous exercise
  • hemorrhoids
  • pregnancy
  • blood clots
Pia zinaweza kutokea sehemu yoyote ya mwili.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…