Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

duuh
duuuh jamaa una zali la kukutana na hiyo sample
 
Kinaponaje mkuu? Au mpaka operation?
 
Dah picha nilikuja kuweka baadae.. Kitaalam sijui jina lake... Nimetoa mifano halisi na wadau wengine pia.. Kuhusu wanaume kuwa nacho sijawahi kufanya huu utafiti

Jr[emoji769]
 
kwana ni uongo kuwa hiki kinyama kipo kwa wanawake tu,wanaune pia wanacho na kakina uhusiano wowote ule na kufirana.huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine yoyote yale na huwa unatibiwa vizuri tu
Hiki kinyama ni tofauti na bawasiri kipo lakini hakiumi

Jr[emoji769]
 
Mmh sifahamu kaka

Jr[emoji769]


Kwakuwa hiyo hali ni "abnormality" hivyo ni ugonjwa, je kwa hekima, uzoefu na akili zako unadhani huo utakuwa ni ugonjwa mpya kama COVID -19??
 
Unatafuta kwa mkoa gani? The best i can advice mhusika aende hosp ya mkoa atafute surgeon aende kama private na sio.kwa rufaa
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Jr[emoji769]
 
Jamani niutovu gani huo maana nahis ninacho pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…