Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mke wa kwanza alikuwa nacho wakamkata ila nilitemana nae huyu wa pili anacho pia na tuna miaka 5 anaupepo na hela sana hata wa kwanza baada ya kumkata ndipo matatizo yakaanza na akawa anapendwa na watu ila upepo wa hela ukapotea huyu wa sasa hana time sana na watu ila ana upepo sijui nimkate na je kama ikatokea upepo ukabadilika hatuwezi achana kweli

Wadau ndaleta mrejesho ngoja nianze kupata uhakika wa mabibi wa zamani pia mama angu maana alikuwa mkunga wa jadi najua anajua itabidi nimjuze
 
Wala tigo
HAPO SASA INA KUWAJE?
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kwa wenye uhitaji wa matibabu ya bawasiri tuwasiliane
 
Kwani hao wenywe hivyo vimkia sijui wao wanasemaje???
 
Mm sijawahi kuona hiko kinyama
zaidi ya bawasili hata mie sijawahi kukiona hicho ki mkia kidogo.... so mfano watu maarufu mtu kama wema atakuwa nacho tu kwa vyovyote veile au?!! ni watu wa sampuli zipi ambao twaweza wabaini pasipo kuwapekua?!!! Fursa ya kuwapekua nayo ni adhimu....hata ikipatikana picha huwa adimu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…