Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Fursa ya kuwapekua nayo ni adhimu....hata ikipatikana picha huwa adimu!!![emoji848][emoji2955][emoji3]
 
Mbona unaongea kana kwamba umeishawahoji wengi au wote wenye kinyama hicho? Isiwe unatumia mjumuisho tokana na mmoja uliyemuona na hivyo ukajenga hitimisho jumla kuwa kila alo nacho yuko hivyo. Fanya utafiti kabla ya kuja na hoja ya jumla mwanangu. Utakosa ushauri wa maana.
 
Wapi napata maana naona tunaenda mwisho
Ninayo lakini pia kuna jamaa anauza hapa hapa JF ila ni kwa ajili ya tatizo la bawasiri kwa ishu ya hicho kinyama fanya tu upasuaji tafadhali
 
Nakushauri soma ukiweza replies zote kuanzia mwanzo utaona shuhuda za wengine
 
Nakushauri soma ukiweza replies zote kuanzia mwanzo utaona shuhuda za wengine
Nimesoma kila kitu sikuona specificity yoyote hapa wala chembe ya utafiti. Sijui nisome wapi na nini wakati mistari iliyoandikwa ni michache haiendi ndani ya tatizo .
 
Ndio maana aliyekuwa mchepuko wangu anaolewa na kuachika,kaolewa mara nne na kuachika ,halafu mimi nikajua alikuwa anafukuliwa tope ndipo kinyama kikachomoza,nilipomuuliza vipi huku akaniambia kilianza kuchomoza alipovunja ungo tu.
 
Ndio maana aliyekuwa mchepuko wangu anaolewa na kuachika,kaolewa mara nne na kuachika ,halafu mimi nikajua alikuwa anafukuliwa tope ndipo kinyama kikachomoza,nilipomuuliza vipi huku akaniambia kilianza kuchomoza alipovunja ungo tu.
Msaidie afanyiwe upasuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…