Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Alikuwaga nacho wife nilijua ni uumbaji tu sikuzingatia ila ila kulikuwa na changamoto sana kifedha back then, kazi pia zilikuwa changamoto, mpaka mwenyewe akanambia hiyo siku nilikua nimekaa sielewi mawazo kibao akanipa nakuonea huruma sana babaangu au ni hiki kinyama kinasumbua maana nikisikia sehemu wakiongelea nikasema sijui ngoja nitauliza wakubwa, nilimpigia mama ni rafiki yangu sana nikamueleza scenario nzima akanambia hata yeye ashawah sikia hizo habari so inawezekana ikawa kweli, nikapata kikazi flani nikapata hela nikampeleka hospital kikatolewa, sasa hv nataman nipate hata wiki nipumzike na maokoto si haba maendeleo yanafanyika
 
.....nikapata kikazi flani nikapata hela nikampeleka hospital kikatolewa, sasa hv nataman nipate hata wiki nipumzike na maokoto si haba maendeleo yanafanyika...[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kinyama huwa kinaondolewa hospitali,tena wala hakichubui muda mrefu sana kuondolewa.Lakini nikwambie kwa wale ambao kinyama ni maumbile yao,yaani sio ugonjwa kuna baadhi ya wanaume,kwao ni sehemu ya kichocheo cha sex
 
mh mi sijawai kukaona kiongozi kumbe kuna wanawake wanavimkia ....na je kama iko kamkia kako kwa mwanaume inakuaje ? Vice versa au? Au haipo kwa wanaume ?
kwa wanaume pia wana vinyama ambavyo ni ugonjwa ambavyo hutibiwa,lakini pia wengine wana vinyama ni maumbile tu
 
Hata mimi nimewahi kuvisikia. Wahenga wanaenda mbali zaidi kwa kusema kwamba, mwanamkea aliyenacho kinyama hicho hata akizaa watoto wanakufa. Tiba yake huwa ni kukikata hicho kinyama na tatizo na mikosi inakwisha.
hio ni hadithi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…