HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Hilo tako mbona limetanuka ghafla?Mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree.
Alisikika mwehu mmoja kule kijijini kwetu mwasubuya
Kusema kweli sijawahi kuona urembo,uzuri wa huyu dada
Ni wakawaida sana,yan beki tatu si kibeki tatu haeleweki
Jamani unichomeshe mkaa kweli?hahahaha; muone
Njoo tuchome mkaa uko porini
wote mkikimbilia bungeni na wizarani
sisi tutakuwa wageni wa nani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watamtomba huyo asipokuwa na akili oweeee
Hahahahahha nyota inang'ara.Huyu mtoto anapepea tu.
Remember falsafa ya uchumi mnao mnaukalia? Big up truly emphatic daughter of Tanganyika.Hayo matako yanasaidia nini sasa?
Hilo tako mbona limetanuka ghafla?
Mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree.
Alisikika mwehu mmoja kule kijijini kwetu mwasubuya
Hahahaaaa.,chezea bottom power wewe
Babaako! Hahaha we kiazi umenichekesha sanaWatamtomba huyo asipokuwa na akili oweeee
Mbona mchumba wa rafiki angu jiraniJamani unichomeshe mkaa kweli?
Hauoni hiyo ni dhambi?
Hapo dhamira ni kuua misingi mizuri katika jamii.. watoto wetu waanze kuiga mambo ya kipuuzi ili nao waende bungeni[emoji16][emoji16][emoji16]Hahahah sasa hapo misingi kwenye jamii inakufa kipi cha kujivunia toka kwa huyo mdada?
Kumbe mchinaa[emoji849]
bungeni mtu yeyote analuhusiwa kwenda mkuu fuata tu utaratbu!! '" ni wivu tuu!!" i. Gwajima's voice!!Yaani mpaka hapo washambanjua,yaani watu wapuuzi wapuuzi wa instagram wanaenda bungeni.
Sehemu kama Bunge inatakiwa waende watu waliofanya makubwa kwa nchi yetu ili,uwa-inspire vijana kufanya vikubwa wewe mpaka wauza K wanaenda bungeni,nina uhakika huyu atakuwa mgeni wa mbunge wa CCM.
Alafu CAG akiwaambia bunge dhaifu spika anaanza kumaindi.