Madaam Poshy, mbunge mtarajiwa atinga mjengoni

Madaam Poshy, mbunge mtarajiwa atinga mjengoni

Hakika huyu mbunge mtarajiwa ni hazina kwa Chama chetu pale atakapokutana na wabunge machachari kina Lusinde, Msukuma, Mlinga na Wale wasomi wetu kutoka UDSM.
Kwakweli Kidumu Chama Chetu....
 
Life is a jest, and all things show it, I thought so once, and now I know it.
 
Jamani unichomeshe mkaa kweli?
Hauoni hiyo ni dhambi?
Mbona mchumba wa rafiki angu jirani
hapa anamsaidia Mr wake kubeba maji, utaweza tu
IMG_20190618_203438_925.JPG



Hata tofali za tanuru la kuchomea, kubeba peke yangu napo mtihani.

IMG_20190618_203037_936.JPG
 
Hili bunge la kutunga sheria au kuangalia misambwanda tu ujinga mkubwa kua na wabunge vilaza
 
Hahahah sasa hapo misingi kwenye jamii inakufa kipi cha kujivunia toka kwa huyo mdada?
Hapo dhamira ni kuua misingi mizuri katika jamii.. watoto wetu waanze kuiga mambo ya kipuuzi ili nao waende bungeni[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yaani mpaka hapo washambanjua,yaani watu wapuuzi wapuuzi wa instagram wanaenda bungeni.

Sehemu kama Bunge inatakiwa waende watu waliofanya makubwa kwa nchi yetu ili,uwa-inspire vijana kufanya vikubwa wewe mpaka wauza K wanaenda bungeni,nina uhakika huyu atakuwa mgeni wa mbunge wa CCM.

Alafu CAG akiwaambia bunge dhaifu spika anaanza kumaindi.
bungeni mtu yeyote analuhusiwa kwenda mkuu fuata tu utaratbu!! '" ni wivu tuu!!" i. Gwajima's voice!!
 
Back
Top Bottom