Madada acheni tabia za kilocal

Huyo binti alikuwa hana mvuto.mia,buku
 

sasa kwenye hizo usafiri utaomba namba za simu ngapi? na wewe acha hiyo tabia ya kuwa kila ukiona kichaka unabanwa na mkojo. vichaka vingine ni makazi ya "manyigu" na ni vya "upupu" pia
 
sasa kwenye hizo usafiri utaomba namba za simu ngapi? na wewe acha hiyo tabia ya kuwa kila ukiona kichaka unabanwa na mkojo. vichaka vingine ni makazi ya "manyigu" na ni vya "upupu" pia

hahahaa...huhuhuuu...vichaka vina nyigu na nyigu mwenyewe ndo huyo. lakini wasichana walio wengi ni nyigu.
 
Sasa hapo u- local wake nini................ulitaka akutumie wewe ndo awe foreign au ??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…